NACTE yafungua Maombi ya Udahili Wa Wanafunzi Katika Mkupuo Wa Machi 2025/2026 - zoteforum.com
zoteforum.com
No Result
View All Result
  • Login
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
PRICING
JIUNGE
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
No Result
View All Result
zoteforum.com
No Result
View All Result

NACTE yafungua Maombi ya Udahili Wa Wanafunzi Katika Mkupuo Wa Machi 2025/2026

NACTE Maombi ya Udahili Wa Wanafunzi Katika Mkupuo Wa Machi 2025/2026

Zoteforum by Zoteforum
February 8, 2025
in Elimu, NACTE

Baraza linapenda kuufahamisha umma kuwa udahili wa wanafunzi katika ngazi ya Astashahada na Stashahada kwa kozi zote utaanza tarehe 10 hadi 28 Februari, 2025. Udahili katika muhula huu wa Machi, 2025 utahusisha vyuo vilivyo na nafasi na uwezo wa kupokea wanafunzi wapya isipokuwa vya afya kwa Tanzania Bara.

Aidha, wahitimu wote wa Elimu ya Sekondari na Vyuo wenye sifa za kujiunga na kozi za Astashahada na Stashahada wanashauriwa kutuma maombi yao ya kudahiliwa moja kwa moja vyuoni. Waombaji watakaochaguliwa na vyuo watakavyoomba watawasilishwa NACTVET kwa ajili ya uhakiki kabla ya kufahamishwa kujiunga na mafunzo. Masomo kwa watakaochaguliwa na kuhakikiwa yataanza tarehe 07 Aprili, 2025.

Baraza linavishauri vyuo na taasisi zote zitakazodahili wanafunzi kwa Muhula wa Machi, 2025 kuhakikisha kuwa wanazingatia taratibu za matukio ya udahili kama zilivyo kwenye Kalenda ya Udahili (Admission Calendar) inayopatikana kwenye tovuti ya Baraza.

Pia Baraza linawashauri waombaji na wazazi kuhakikisha kuwa wanafanya maombi kwenye vyuo vilivyokidhi vigezo na kuruhusiwa kudahili katika muhula wa Machi, 2025 na vimeorodheshwa kwenye tangazo hili.

Orodha ya vyuo vilivyoruhusiwa kufanya udahili wa Machi 2025 pia inapatikana katika tovuti ya NACTVET ambayo ni www.nactvet.go.tz.

IMETOLEWA NA OFISI YA KATIBU MTENDAJI NACTVET

07/02/2025

Usikose Kusoma na Hizi Pia

Matokeo ya Kidato cha Sita 2025 (Form Six Results)

Chuo cha Excellent College of Health and Allied Sciences – Kibaha: Kozi zinazotolewa, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga na Chuo

Chuo cha Elijerry College of Health and Allied Sciences: Kozi zinazotolewa, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga

Chuo cha City College of Health and Allied Sciences – Mwanza Campus: Kozi, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga

Chuo cha Arusha Technical College: Kozi Zinazotolewa, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga

Waliochaguliwa Vyuo vya Kati 2025/2026

Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2025 – 2026

Shule Walizopangiwa Kidato cha Tano 2025/2026 (Orodha na Majina ya Shule Walizopangiwa form five)

Tamisemi Uchaguzi wa Kidato cha Tano na Vyuo vya Kati, 2025

Form Five Selection 2025 – 2026 (Uchaguzi wa Kidato Cha Tano na Vyuo vya Kati)

Load More
Buy JNews Buy JNews Buy JNews
ADVERTISEMENT

RATIBA YA UDAHILI KWA MKUPUO WA MACHI, 2025/2026

TAREHETUKIOWAHUSIKA
10 – 28 Februari, 2025Kufungua udahili wa mkupuo wa Machi 2025NACTVET,
01 – 07 Machi, 2025Kupokea maombi ya wanafunziVyuo
06- 22 Machi, 2025Kuwasilisha majina ya waombaji waliochaguliwa NACTVET kwa ajili ya uhakikiVyuo
23 – 29 Machi, 2025Uhakiki wa waombaji waliochaguliwaNACTVET
31 Machi, 2025Majibu ya UhakikiNACTVET
07 – 25 Aprili, 2025Usajili wa wanafunzi na Masomo kuanzaVyuo

SOMA TANGAZO RASMI HAPA: UDAHILI WA WANAFUNZI MKUPUO WA MACHI 2025/2026

SendShareShareTweet
Zoteforum

Zoteforum

Karibu Zoteforum.com, Tovuti yako pekee inayokupasha habari na Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani.

Makala Nyingine zaidi

Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 (NECTA Form Six Results)

Matokeo ya Kidato cha Sita 2025 (Form Six Results)

July 7, 2025
Chuo cha Arusha Technical College: Kozi Zinazotolewa, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga

Chuo cha Excellent College of Health and Allied Sciences – Kibaha: Kozi zinazotolewa, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga na Chuo

July 5, 2025

Chuo cha Elijerry College of Health and Allied Sciences: Kozi zinazotolewa, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga

July 5, 2025

Chuo cha City College of Health and Allied Sciences – Mwanza Campus: Kozi, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga

June 10, 2025

Chuo cha Arusha Technical College: Kozi Zinazotolewa, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga

June 10, 2025

Waliochaguliwa Vyuo vya Kati 2025/2026

June 9, 2025
Load More

Weka maoni yako hapa au Komenti kuhusu makala hiiCancel reply

Recommended Stories

Sifa Za Kujiunga Na Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam University College of Education (DUCE)

Sifa Za Kujiunga Na Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam University College of Education (DUCE)

April 18, 2025
Ada Na Kozi Zinazotolewa Na Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST Courses And Fees)

Ada Na Kozi Zinazotolewa Na Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST Courses And Fees)

April 15, 2025
Maombi ya Udahili Chuo Kikuu cha State University of Zanzibar (SUZA Application )

Maombi ya Udahili Chuo Kikuu cha State University of Zanzibar (SUZA Application 2025/2026)

April 18, 2025
Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Liwale

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Liwale

May 6, 2025
NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

November 21, 2024
Zijue Dalili za Saratani (kansa), Sababu na Tiba

Zijue Dalili za Saratani (kansa), Sababu na Tiba

April 27, 2025
Matokeo ya Kidato cha pili

Matokeo ya Kidato cha Pili 2024 Arusha

January 4, 2025
ugonjwa wa Asidi Reflux

Dalili za ugonjwa wa Asidi Reflux, Sababu na Tiba

April 27, 2025
Kozi za NACTE

Kozi ya Ordinary Diploma in Information System and Network Technology, Sifa na Vigezo, Vyuo Vinavyotoa

January 17, 2025
  • About
  • Cart
  • Checkout
  • Contact
  • Download Mziki na Nyimbo mpya
  • Habari za Burudani
  • Habari za Elimu
  • Habari za Soka
  • Home
  • Matokeo Ya Mitihani Tanzania – NECTA – MOCK – VYUO
  • My account
  • Nafasi za Kazi 2024
  • Offerings
  • Shop
  • Subscription
Call us: +1 234 JEG THEME

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
No Result
View All Result
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.