Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imekamilisha mchakato wa uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Kati kwa mwaka wa masomo 2025. Orodha rasmi ya wanafunzi waliochaguliwa imewekwa wazi leo, [tarehe 06/06/2025], na inapatikana kupitia tovuti rasmi ya TAMISEMI www.tamisemi.go.tz. Wanafunzi wote wanaohusika na wazazi wanashauriwa kutembelea tovuti hiyo ili kupata Orodha ya Maijana hayo.
Aidha, Wazazi na wanafunzi wanaweza pia kuangalia orodha ya Majina ya waliochaguliwa kupitia linki zifuatazo hapo chini
Linki Za Kupata Orodha Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato Cha Tano Na Vyuo Vya Kati 2025
- Waliochaguliwa Kujiunga Kidato Cha Tano Na Vyuo Vya Kati 2025
- Selection Form Five 2025 to 2026
- Shule Walizopangiwa Kidato cha Tano 2025/2026 (Orodha na Majina ya Shule Walizopangiwa form five)
- Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2025 – 2026
- Waliochaguliwa Vyuo vya Kati 2025/2026
- Select Form Five Selection 2025 – 2026 (Uchaguzi wa Kidato Cha Tano na Vyuo vya Kati)