zoteforum.com
No Result
View All Result
  • Login
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
PRICING
JIUNGE
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
No Result
View All Result
zoteforum.com
No Result
View All Result

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (Majina zaidi ya 8,000)

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs, Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 02-01-2025 hadi 12-01-2025 a hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo

  • Usaili utafanyika kuanzia tarehe kama ilivyooneshwa kwenye tangazo hili muda na sehemu ambapo usaili utafanyika umeainishwa kwa kila Kada.
  • Kila msailiwa anatakiwa kufika kwenye eneo la usaili akiwa amevaa Barakoa (Mask)
  • Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi;
  • Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, Kitambulisho cha Mpiga kura,Kitambulisho cha kazi,Kitambulisho cha Uraia au Hati ya kusafiria.
  • Wasailiwa wanatakiwa kufika na VYETI VYAO HALISI, kuanzia cheti cha kuzaliwa,kidato cha IV, VI, Astashahada, Stashahada,Stashahada ya Juu, Shahada na kuendelea kutegemeana na sifa za Mwombaji.
  • Wasailiwa watakaowasilisha Testimonials, Provisional Results, Statement of results, hatiza matokeo za kidato cha IV na VI (form V and form VI results slips) HAVITAKUBALIWA NA HAWATARUHUSIWA KUENDELEA NA USAILI.
  • Kila msailiwa atajigharamia kwa Chakula, Usafiri na Malazi.
  • Kila Msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.
  • Kwa waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe Vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (kama TCU, NACTE au NECTA)
  • Waombaji kazi ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa hawakukidhi vigezo. Hivyo, wasisite kuomba tena pindi nafasi za kazi zitakapotangazwa na kuzingatia mahitaji ya tangazo husika.
  • Kwa kada ambazo wanatakiwa kusajiliwa na Bodi zao za Kitaaluma wanapaswa kuja na vyeti vyao Halisi vya Usajili pamoja na Leseni za kufanyia kazi.
  • Wasailiwa wote walioitwa kwenye usaili wahakikishe wanaingia kwenye akaunti zao na kunakili namba ya mtihani kwa kuwa namba hizo hazitatolewa iku ya usaili
  • Wasailiwa wote mnajulishwa kuwa hali ya hewa ya Jiji la Dodoma ni baridi hivyo mnashauriwa kuvaa nguo zinazohimili hali ya hewa ya ubaridi

DOWNLOAD : CALL-FOR-INTERVIEW-ADVERT

RATIBA YA USAILI WA MCHUJO

MWAJIRIKADATAREHE YA USAILIMAHALI
    MDAs & LGAs    AFISA UNUNUZI MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT PROCUREMENT OFFICER II)    04-01-2025 07:00 AMUSAILI HUU UTAFANYIKA KWA NJIA YA MTANDAO(ONLINE), UTAJULISHWA VITUO VYA USAILI KUPITIA AKAUNTI YAKO YA ‘AJIRA PORTAL’ NA TOVUTI YA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
    MDAs & LGAs    AFISA USAFIRISHAJI DARAJA LA II (TRANSPORT OFFICER II)    05-01-2025 07:00 AMUSAILI HUU UTAFANYIKA KWA NJIA YA MTANDAO(ONLINE), UTAJULISHWA VITUO VYA USAILI KUPITIA AKAUNTI YAKO YA ‘AJIRA PORTAL’ NA TOVUTI YA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
    MDAs & LGAs    AFISA UNUNUZI DARAJA LA II (PROCUREMENT OFFICER II)    04-01-2025 07:00 AMUSAILI HUU UTAFANYIKA KWA NJIA YA MTANDAO(ONLINE), UTAJULISHWA VITUO VYA USAILI KUPITIA AKAUNTI YAKO YA ‘AJIRA PORTAL’ NA TOVUTI YA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
    MDAs & LGAs    AFISA USTAWI WA JAMII MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT SOCIAL WELFARE OFFICER II)    04-01-2025 07:00 AMUSAILI HUU UTAFANYIKA KWA NJIA YA MTANDAO (ONLINE), UTAJULISHWA VITUO VYA USAILI KUPITIA AKAUNTI YAKO YA ‘AJIRA PORTAL’ NA TOVUTI YA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
    MDAs & LGAs  AFISA MAENDELEO YA JAMII MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER II)    05-01-2025 07:00 AMUSAILI HUU UTAFANYIKA KWA NJIA YA MTANDAO(ONLINE), UTAJULISHWA VITUO VYA USAILI KUPITIA AKAUNTI YAKO YA ‘AJIRA PORTAL’ NA TOVUTI YA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

RATIBA YA USAILI WA VITENDO

MWAJIRIKADATAREHE YA USAILIMAHALI
MDAs & LGAsMPISHI DARAJA LA PILI II (COOK II)06-01-2025 07:00 AMUSAILI HUU UTAFANYIKA CHUO CHA VETA – DODOMA
  MDAs & LGAsMWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II (OFFICE MANAGEMENT SECRETARY II)  11-01-2025 07:00 AMUSAILI HUU UTAFANYIKA KATIKA MAABARA YA KOMPYUTA CIVE – CHUO KIKUU DODOMA (UDOM)

RATIBA YA USAILI WA MAHOJIANO

ADVERTISEMENT
MWAJIRIKADATAREHE YA USAILIMAHALI
Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP)ASSISTANT LECTURER (LAW)10-01-2025 07:00 AMIRDP – DODOMA
Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP)ASSISTANT LECTURER (DEVELOPMENT STUDIES)10-01-2025 07:00 AMIRDP – DODOMA
Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP)ASSISTANT LECTURER (STATISTICS)10-01-2025 07:00 AMIRDP – DODOMA
Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP)ASSISTANT LECTURER (PROJECT PLANNING AND MANAGEMENT)10-01-2025 07:00 AMIRDP – DODOMA
MDAs & LGAs  AFISA UNUNUZI MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT PROCUREMENT OFFICER II)07-01-2025 07:00 AMOFISI YA RAISI, SEKRETARIET YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA (PSRS) JENGO LA ASHAROSE MIGIRO – DODOMA
MDAs & LGAsMPISHI DARAJA LA PILI II (COOK II)07-01-2025 07:00 AMSHULE YA SEKONDARI DODOMA
MDAs & LGAsAFISA USAFIRISHAJI DARAJA LA II (TRANSPORT OFFICER II)09-01-2025 07:00 AMSHULE YA SEKONDARI – DODOMA
MDAs & LGAs  MSAIDIZI WA UFUGAJI NYUKI DARAJA LA II (BEEKEEPING ASSISTANT II)10-01-2025 07:00 AMOFISI YA RAIS, SEKRETARIETI ZA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA (PSRS) JENGO LA ASHAROSE MIGIRO – DODOMA
MDAs & LGAsAFISA UNUNUZI DARAJA LA II (PROCUREMENT OFFICER II)08-01-2025 07:00 AMSHULE YA SEKONDARI DODOMA
MDAs & LGAsAFISA UFUGAJI NYUKI DARAJA LA II (BEE-KEEPING OFFICER II)02-01-2025 07:00 AMSHULE YA SEKONDARI DODOMA
  MDAs & LGAsFUNDI SANIFU DARAJA LA II – KILIMO (AGRICULTURAL TECHNICIAN II)  02-01-2025 07:00 AM  SHULE YA SEKONDARI DODOMA
  MDAs & LGAsMWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II (OFFICE MANAGEMENT SECRETARY II)  12-01-2025 07:00 AM  SHULE YA SEKONDARI DODOMA
  MDAs & LGAsAFISA UTAMADUNI MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT CULTURAL OFFICER II)  02-01-2025 07:00 AM  SHULE YA SEKONDARI DODOMA
  MDAs & LGAsMSAIDIZI WA MIFUGO DARAJA LA II (LIVESTOCK FIELD ASSISTANT II)  11-01-2025 07:00 AM  SHULE YA SEKONDARI DODOMA
  MDAs & LGAsAFISA USTAWI WA JAMII MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT SOCIAL WELFARE OFFICER II)  07-01-2025 07:00 AM  SHULE YA SEKONDARI DODOMA
MDAs & LGAsMSAIDIZI WA HESABU DARAJA LA II (ACCOUNTS ASSISTANT II)02-01-2025 07:00 AMSHULE YA SEKONDARI DODOMA
MDAs & LGAsMSANIFU MAJENGO DARAJA LA II (ARCHITECT II)02-01-2025 07:00 AMSHULE YA SEKONDARI DODOMA
MDAs & LGAsMKADIRIAJI MAJENZI DARAJA LA II (QUANTITY SURVEYOR II)02-01-2025 07:00 AMSHULE YA SEKONDARI DODOMA
MDAs & LGAsAFISA MAENDELEO YA JAMII MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER II)09-01-2025 07:00 AMSHULE YA SEKONDARI – DODMA
CALL-FOR-INTERVIEW-ADVERTDownload

Usikose Kusoma na Hizi Pia

Mtokeo ya Usaili TRA 2025 : Majina ya waliochaguliwa kushiriki Usahili wa Mahojiano na Vitendo TRA

Ajira Portal: Jinsi ya kujisajili na kutuma maombi ya kazi kwenye Ajira Portal Sekretariat ya Ajira (PSRS)

Nafasi Za Kazi/ Ajira mpya Za Ualimu Disemba 2024 Sekretarieti ya Ajira (Nafasi 3633)

Load More
SendShareShareTweet
Zoteforum

Zoteforum

Karibu Zoteforum.com, Tovuti yako pekee inayokupasha habari na Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani.

Makala Nyingine zaidi

VITUO VYA USAILI WA MAHOJANO WA MDAs & LGAs UTAKAOFANYIKA TAREHE 22 HADI 24 OKTOBA, 2025

VITUO VYA USAILI WA MAHOJANO WA MDAs & LGAs UTAKAOFANYIKA TAREHE 22 HADI 24 OKTOBA, 2025

Serikali yatangaza Nafasi za Kazi za ualimu (10,026)

Serikali yatangaza Nafasi za Kazi za ualimu (10,026)

Nafasi za kazi Afisa Ufugaji Nyuki Msaidizi Daraja la II (Assistant Beekeeping Officer II)

Nafasi za kazi Afisa Maendeleo ya Michezo Msaidizi Daro la II

Nafasi za kazi MSANIFU MAJENGO DARAJA LA II (ARCHITECT GRADE II)

Nafasi za kazi Afisa Ukuzaji Viumbe Kwenye Maji Daraja la II (Aquaculture Officer Grade II)

Load More

Weka maoni yako hapa au Komenti kuhusu makala hiiCancel reply

  • About
  • Cart
  • Checkout
  • Contact
  • Download Mziki na Nyimbo mpya
  • Habari za Burudani
  • Habari za Elimu
  • Habari za Soka
  • Home
  • Matokeo Ya Mitihani Tanzania – NECTA – MOCK – VYUO
  • My account
  • Nafasi za Kazi 2024
  • Offerings
  • Shop
  • Subscription
Call us: +1 234 JEG THEME

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
No Result
View All Result
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.