zoteforum.com
No Result
View All Result
  • Login
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
PRICING
JIUNGE
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
No Result
View All Result
zoteforum.com
No Result
View All Result

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (Majina zaidi ya 8,000)

Zoteforum by Zoteforum
December 15, 2024
in Nafasi za kazi

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs, Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 02-01-2025 hadi 12-01-2025 a hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo

  • Usaili utafanyika kuanzia tarehe kama ilivyooneshwa kwenye tangazo hili muda na sehemu ambapo usaili utafanyika umeainishwa kwa kila Kada.
  • Kila msailiwa anatakiwa kufika kwenye eneo la usaili akiwa amevaa Barakoa (Mask)
  • Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi;
  • Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, Kitambulisho cha Mpiga kura,Kitambulisho cha kazi,Kitambulisho cha Uraia au Hati ya kusafiria.
  • Wasailiwa wanatakiwa kufika na VYETI VYAO HALISI, kuanzia cheti cha kuzaliwa,kidato cha IV, VI, Astashahada, Stashahada,Stashahada ya Juu, Shahada na kuendelea kutegemeana na sifa za Mwombaji.
  • Wasailiwa watakaowasilisha Testimonials, Provisional Results, Statement of results, hatiza matokeo za kidato cha IV na VI (form V and form VI results slips) HAVITAKUBALIWA NA HAWATARUHUSIWA KUENDELEA NA USAILI.
  • Kila msailiwa atajigharamia kwa Chakula, Usafiri na Malazi.
  • Kila Msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.
  • Kwa waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe Vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (kama TCU, NACTE au NECTA)
  • Waombaji kazi ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa hawakukidhi vigezo. Hivyo, wasisite kuomba tena pindi nafasi za kazi zitakapotangazwa na kuzingatia mahitaji ya tangazo husika.
  • Kwa kada ambazo wanatakiwa kusajiliwa na Bodi zao za Kitaaluma wanapaswa kuja na vyeti vyao Halisi vya Usajili pamoja na Leseni za kufanyia kazi.
  • Wasailiwa wote walioitwa kwenye usaili wahakikishe wanaingia kwenye akaunti zao na kunakili namba ya mtihani kwa kuwa namba hizo hazitatolewa iku ya usaili
  • Wasailiwa wote mnajulishwa kuwa hali ya hewa ya Jiji la Dodoma ni baridi hivyo mnashauriwa kuvaa nguo zinazohimili hali ya hewa ya ubaridi

DOWNLOAD : CALL-FOR-INTERVIEW-ADVERT

RATIBA YA USAILI WA MCHUJO

MWAJIRIKADATAREHE YA USAILIMAHALI
    MDAs & LGAs    AFISA UNUNUZI MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT PROCUREMENT OFFICER II)    04-01-2025 07:00 AMUSAILI HUU UTAFANYIKA KWA NJIA YA MTANDAO(ONLINE), UTAJULISHWA VITUO VYA USAILI KUPITIA AKAUNTI YAKO YA ‘AJIRA PORTAL’ NA TOVUTI YA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
    MDAs & LGAs    AFISA USAFIRISHAJI DARAJA LA II (TRANSPORT OFFICER II)    05-01-2025 07:00 AMUSAILI HUU UTAFANYIKA KWA NJIA YA MTANDAO(ONLINE), UTAJULISHWA VITUO VYA USAILI KUPITIA AKAUNTI YAKO YA ‘AJIRA PORTAL’ NA TOVUTI YA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
    MDAs & LGAs    AFISA UNUNUZI DARAJA LA II (PROCUREMENT OFFICER II)    04-01-2025 07:00 AMUSAILI HUU UTAFANYIKA KWA NJIA YA MTANDAO(ONLINE), UTAJULISHWA VITUO VYA USAILI KUPITIA AKAUNTI YAKO YA ‘AJIRA PORTAL’ NA TOVUTI YA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
    MDAs & LGAs    AFISA USTAWI WA JAMII MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT SOCIAL WELFARE OFFICER II)    04-01-2025 07:00 AMUSAILI HUU UTAFANYIKA KWA NJIA YA MTANDAO (ONLINE), UTAJULISHWA VITUO VYA USAILI KUPITIA AKAUNTI YAKO YA ‘AJIRA PORTAL’ NA TOVUTI YA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
    MDAs & LGAs  AFISA MAENDELEO YA JAMII MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER II)    05-01-2025 07:00 AMUSAILI HUU UTAFANYIKA KWA NJIA YA MTANDAO(ONLINE), UTAJULISHWA VITUO VYA USAILI KUPITIA AKAUNTI YAKO YA ‘AJIRA PORTAL’ NA TOVUTI YA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

RATIBA YA USAILI WA VITENDO

MWAJIRIKADATAREHE YA USAILIMAHALI
MDAs & LGAsMPISHI DARAJA LA PILI II (COOK II)06-01-2025 07:00 AMUSAILI HUU UTAFANYIKA CHUO CHA VETA – DODOMA
  MDAs & LGAsMWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II (OFFICE MANAGEMENT SECRETARY II)  11-01-2025 07:00 AMUSAILI HUU UTAFANYIKA KATIKA MAABARA YA KOMPYUTA CIVE – CHUO KIKUU DODOMA (UDOM)

RATIBA YA USAILI WA MAHOJIANO

MWAJIRIKADATAREHE YA USAILIMAHALI
Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP)ASSISTANT LECTURER (LAW)10-01-2025 07:00 AMIRDP – DODOMA
Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP)ASSISTANT LECTURER (DEVELOPMENT STUDIES)10-01-2025 07:00 AMIRDP – DODOMA
Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP)ASSISTANT LECTURER (STATISTICS)10-01-2025 07:00 AMIRDP – DODOMA
Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP)ASSISTANT LECTURER (PROJECT PLANNING AND MANAGEMENT)10-01-2025 07:00 AMIRDP – DODOMA
MDAs & LGAs  AFISA UNUNUZI MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT PROCUREMENT OFFICER II)07-01-2025 07:00 AMOFISI YA RAISI, SEKRETARIET YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA (PSRS) JENGO LA ASHAROSE MIGIRO – DODOMA
MDAs & LGAsMPISHI DARAJA LA PILI II (COOK II)07-01-2025 07:00 AMSHULE YA SEKONDARI DODOMA
MDAs & LGAsAFISA USAFIRISHAJI DARAJA LA II (TRANSPORT OFFICER II)09-01-2025 07:00 AMSHULE YA SEKONDARI – DODOMA
MDAs & LGAs  MSAIDIZI WA UFUGAJI NYUKI DARAJA LA II (BEEKEEPING ASSISTANT II)10-01-2025 07:00 AMOFISI YA RAIS, SEKRETARIETI ZA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA (PSRS) JENGO LA ASHAROSE MIGIRO – DODOMA
MDAs & LGAsAFISA UNUNUZI DARAJA LA II (PROCUREMENT OFFICER II)08-01-2025 07:00 AMSHULE YA SEKONDARI DODOMA
MDAs & LGAsAFISA UFUGAJI NYUKI DARAJA LA II (BEE-KEEPING OFFICER II)02-01-2025 07:00 AMSHULE YA SEKONDARI DODOMA
  MDAs & LGAsFUNDI SANIFU DARAJA LA II – KILIMO (AGRICULTURAL TECHNICIAN II)  02-01-2025 07:00 AM  SHULE YA SEKONDARI DODOMA
  MDAs & LGAsMWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II (OFFICE MANAGEMENT SECRETARY II)  12-01-2025 07:00 AM  SHULE YA SEKONDARI DODOMA
  MDAs & LGAsAFISA UTAMADUNI MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT CULTURAL OFFICER II)  02-01-2025 07:00 AM  SHULE YA SEKONDARI DODOMA
  MDAs & LGAsMSAIDIZI WA MIFUGO DARAJA LA II (LIVESTOCK FIELD ASSISTANT II)  11-01-2025 07:00 AM  SHULE YA SEKONDARI DODOMA
  MDAs & LGAsAFISA USTAWI WA JAMII MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT SOCIAL WELFARE OFFICER II)  07-01-2025 07:00 AM  SHULE YA SEKONDARI DODOMA
MDAs & LGAsMSAIDIZI WA HESABU DARAJA LA II (ACCOUNTS ASSISTANT II)02-01-2025 07:00 AMSHULE YA SEKONDARI DODOMA
MDAs & LGAsMSANIFU MAJENGO DARAJA LA II (ARCHITECT II)02-01-2025 07:00 AMSHULE YA SEKONDARI DODOMA
MDAs & LGAsMKADIRIAJI MAJENZI DARAJA LA II (QUANTITY SURVEYOR II)02-01-2025 07:00 AMSHULE YA SEKONDARI DODOMA
MDAs & LGAsAFISA MAENDELEO YA JAMII MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER II)09-01-2025 07:00 AMSHULE YA SEKONDARI – DODMA
CALL-FOR-INTERVIEW-ADVERTDownload
Buy JNews Buy JNews Buy JNews
ADVERTISEMENT

Usikose Kusoma na Hizi Pia

Mtokeo ya Usaili TRA 2025 : Majina ya waliochaguliwa kushiriki Usahili wa Mahojiano na Vitendo TRA

Ajira Portal: Jinsi ya kujisajili na kutuma maombi ya kazi kwenye Ajira Portal Sekretariat ya Ajira (PSRS)

Nafasi Za Kazi/ Ajira mpya Za Ualimu Disemba 2024 Sekretarieti ya Ajira (Nafasi 3633)

Load More
SendShareShareTweet
Zoteforum

Zoteforum

Karibu Zoteforum.com, Tovuti yako pekee inayokupasha habari na Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani.

Makala Nyingine zaidi

Rais Samia apandisha mshahara kwa watumishi kutoka Tsh. 370,000 hadi 500,000

Rais Samia apandisha mshahara kwa watumishi kutoka Tsh. 370,000 hadi 500,000

May 1, 2025
Nafasi za Kazi za kuandikishwa jeshini (JWTZ) kwa wenye fani mbalimbali

Nafasi za Kazi za kuandikishwa jeshini (JWTZ) kwa wenye fani mbalimbali

April 30, 2025

Mtokeo ya Usaili TRA 2025 : Majina ya waliochaguliwa kushiriki Usahili wa Mahojiano na Vitendo TRA

April 27, 2025

 Nafasi Za Kazi Serikalini katika Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (Must)

April 26, 2025

Majina ya walioitwa Kazini Taasisi Mbalimbali Za Umma 24-04-2025 (Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma)

April 24, 2025

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA MOSHI

April 23, 2025
Load More

Weka maoni yako hapa au Komenti kuhusu makala hiiCancel reply

Recommended Stories

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya ya Sikonge, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya ya Sikonge, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 13, 2025
From Five Selection 2025

Form Five Selection 2025 Ruvuma – Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2025 Ruvuma

February 9, 2025
Orodha Ya Shule Za Sekondari Mkoa wa Dar es Salaam, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Mkoa wa Dar es Salaam, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 17, 2025
Zifahamu Shule Zote za Sekondari Zilizopo Katika Manispaa ya Moshi

Orodha Ya Shule Za Sekondari Manispaa ya Moshi

May 6, 2025
Maombi ya Udahili Chuo Kikuu cha Mwanza (MzU Application 2025/2026)

Maombi ya Udahili Chuo Kikuu cha Mwanza (MzU Application 2025/2026)

April 18, 2025
Ugonjwa wa Wengu

Dalili za Ugonjwa wa Wengu, Sababu na Tiba

April 27, 2025
Maombi ya Udahili Chuo Kikuu cha Karume Institute of Science and Technology (KIST Application )

Maombi ya Udahili Chuo Kikuu cha Karume Institute of Science and Technology (KIST Application 2025/2026)

April 18, 2025
ugonjwa wa Hernia

Dalili za ugonjwa wa Hernia, Sababu na Tiba

April 27, 2025
Matokeo ya Kidato cha pili

Matokeo ya Kidato cha pili 2024 Songwe

January 4, 2025
  • About
  • Cart
  • Checkout
  • Contact
  • Download Mziki na Nyimbo mpya
  • Habari za Burudani
  • Habari za Elimu
  • Habari za Soka
  • Home
  • Matokeo Ya Mitihani Tanzania – NECTA – MOCK – VYUO
  • My account
  • Nafasi za Kazi 2024
  • Offerings
  • Shop
  • Subscription
Call us: +1 234 JEG THEME

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
No Result
View All Result
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.