zoteforum.com
No Result
View All Result
  • Login
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
PRICING
JIUNGE
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
No Result
View All Result
zoteforum.com
No Result
View All Result

NACTE yafungua Maombi ya Udahili Wa Wanafunzi Katika Mkupuo Wa Machi 2025/2026

NACTE Maombi ya Udahili Wa Wanafunzi Katika Mkupuo Wa Machi 2025/2026

Zoteforum by Zoteforum
February 8, 2025
in Elimu, NACTE

Baraza linapenda kuufahamisha umma kuwa udahili wa wanafunzi katika ngazi ya Astashahada na Stashahada kwa kozi zote utaanza tarehe 10 hadi 28 Februari, 2025. Udahili katika muhula huu wa Machi, 2025 utahusisha vyuo vilivyo na nafasi na uwezo wa kupokea wanafunzi wapya isipokuwa vya afya kwa Tanzania Bara.

Aidha, wahitimu wote wa Elimu ya Sekondari na Vyuo wenye sifa za kujiunga na kozi za Astashahada na Stashahada wanashauriwa kutuma maombi yao ya kudahiliwa moja kwa moja vyuoni. Waombaji watakaochaguliwa na vyuo watakavyoomba watawasilishwa NACTVET kwa ajili ya uhakiki kabla ya kufahamishwa kujiunga na mafunzo. Masomo kwa watakaochaguliwa na kuhakikiwa yataanza tarehe 07 Aprili, 2025.

Baraza linavishauri vyuo na taasisi zote zitakazodahili wanafunzi kwa Muhula wa Machi, 2025 kuhakikisha kuwa wanazingatia taratibu za matukio ya udahili kama zilivyo kwenye Kalenda ya Udahili (Admission Calendar) inayopatikana kwenye tovuti ya Baraza.

Pia Baraza linawashauri waombaji na wazazi kuhakikisha kuwa wanafanya maombi kwenye vyuo vilivyokidhi vigezo na kuruhusiwa kudahili katika muhula wa Machi, 2025 na vimeorodheshwa kwenye tangazo hili.

Orodha ya vyuo vilivyoruhusiwa kufanya udahili wa Machi 2025 pia inapatikana katika tovuti ya NACTVET ambayo ni www.nactvet.go.tz.

IMETOLEWA NA OFISI YA KATIBU MTENDAJI NACTVET

07/02/2025

Buy JNews Buy JNews Buy JNews
ADVERTISEMENT

RATIBA YA UDAHILI KWA MKUPUO WA MACHI, 2025/2026

TAREHETUKIOWAHUSIKA
10 – 28 Februari, 2025Kufungua udahili wa mkupuo wa Machi 2025NACTVET,
01 – 07 Machi, 2025Kupokea maombi ya wanafunziVyuo
06- 22 Machi, 2025Kuwasilisha majina ya waombaji waliochaguliwa NACTVET kwa ajili ya uhakikiVyuo
23 – 29 Machi, 2025Uhakiki wa waombaji waliochaguliwaNACTVET
31 Machi, 2025Majibu ya UhakikiNACTVET
07 – 25 Aprili, 2025Usajili wa wanafunzi na Masomo kuanzaVyuo

SOMA TANGAZO RASMI HAPA: UDAHILI WA WANAFUNZI MKUPUO WA MACHI 2025/2026

Usikose Kusoma na Hizi Pia

Tamisemi Uchaguzi wa Kidato cha Tano na Vyuo vya Kati, 2025

Selection Form Five 2025 to 2026

Shule Walizopangiwa Kidato cha Tano 2025/2026 (Orodha na Majina ya Shule Walizopangiwa form five)

Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2025 – 2026

Waliochaguliwa Vyuo vya Kati 2025/2026

From five selection 2025 Kagera – Waliochaguliwa kidato cha tano 2025 Kagera

Form five selection 2025 Katavi- Waliochaguliwa kidato cha tano 2025 Katavi

Form Five Selection 2025 Geita – Waliochaguliwa Kidato Cha Tano 2025 Geita

From Five Selection 2025 Dodoma – Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2025 Dodoma

From Five Selection 2025 Dar es Salaam – Waliochaguliwa Kidato Cha Tano 2025 Dar es Salaam

Load More
SendShareShareTweet
Zoteforum

Zoteforum

Karibu Zoteforum.com, Tovuti yako pekee inayokupasha habari na Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani.

Makala Nyingine zaidi

From Five Selection 2025

Tamisemi Uchaguzi wa Kidato cha Tano na Vyuo vya Kati, 2025

June 6, 2025
From Five Selection 2025

Selection Form Five 2025 to 2026

June 6, 2025

Shule Walizopangiwa Kidato cha Tano 2025/2026 (Orodha na Majina ya Shule Walizopangiwa form five)

June 6, 2025

Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2025 – 2026

June 6, 2025

Waliochaguliwa Vyuo vya Kati 2025/2026

June 6, 2025

From five selection 2025 Kagera – Waliochaguliwa kidato cha tano 2025 Kagera

June 6, 2025
Load More

Weka maoni yako hapa au Komenti kuhusu makala hiiCancel reply

Recommended Stories

Zifahamu Shule Zote za Sekondari Zilizopo Katika Wilaya Ya Tarime

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Tarime

May 7, 2025
Form One Selection 2025 Arusha – waliochaguliwa kidato cha kwanza 2025 Arusha

Form One Selection 2025 Shinyanga – TAMISEMI waliochaguliwa kidato cha kwanza 2025 Shinyanga

December 16, 2024
Kozi za NACTE

Kozi ya Ordinary Diploma in Electronics and Telecommunication Engineering, Sifa na Vigezo, Vyuo Vinavyotoa

January 17, 2025
Form One Selection 2025 Arusha – waliochaguliwa kidato cha kwanza 2025 Arusha

Form One Selection 2025 Tanga – TAMISEMI waliochaguliwa kidato cha kwanza 2024 Tanga

December 16, 2024
Zifahamu shule zote za Sekondari zilizopo katika Manispaa ya Mpanda, matokeo ya NECTA na Mock, majina ya waliochaguliwa kidato cha kwanza na cha tano, na utaratibu wa kujiunga na masomo katika shule hizo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Manispaa ya Mpanda, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 6, 2025
Ada Na Kozi Zinazotolewa Na Chuo Kikuu cha Kilimo na Teknolojia cha Mwalimu Julius K. Nyerere (MJNUAT Courses And Fees)

Ada Na Kozi Zinazotolewa Na Chuo Kikuu cha Kilimo na Teknolojia cha Mwalimu Julius K. Nyerere (MJNUAT Courses And Fees)

April 16, 2025
Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha SJCHAS

Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha SJCHAS 2025/2026 (SJCHAS Selected Applicants)

April 19, 2025
ugonjwa wa Cholesterol

Dalili za ugonjwa wa Cholesterol, Sababu na Tiba

April 26, 2025
Sifa Za Kujiunga Na Chuo Kikuu Cha Stella Maris Mtwara University College (STeMMUCo) 2025/2026

Sifa Za Kujiunga Na Chuo Kikuu Cha Stella Maris Mtwara University College (STeMMUCo) 2025/2026

April 17, 2025
  • About
  • Cart
  • Checkout
  • Contact
  • Download Mziki na Nyimbo mpya
  • Habari za Burudani
  • Habari za Elimu
  • Habari za Soka
  • Home
  • Matokeo Ya Mitihani Tanzania – NECTA – MOCK – VYUO
  • My account
  • Nafasi za Kazi 2024
  • Offerings
  • Shop
  • Subscription
Call us: +1 234 JEG THEME

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
No Result
View All Result
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.