Nafasi za Kazi / ajira Jeshi la Zimamoto 2025 - zoteforum.com
zoteforum.com
No Result
View All Result
  • Login
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
PRICING
JIUNGE
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
No Result
View All Result
zoteforum.com
No Result
View All Result

Nafasi za Kazi / ajira Jeshi la Zimamoto 2025

Zoteforum by Zoteforum
February 13, 2025
in Uncategorized

TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA – Jeshi la Zimamoto

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa mamlaka aliyopewa Kwa mujibu wa kifungu cha 14(4) cha Sheria ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Sura ya 427, kikisomwa pamoja na Kanuni ya 5(1) ya kanuni za Utumishi za Jeshi la Zimamoto na Uokoaji za mwaka 2008 anatangaza nafasi za ajira ngazi ya Konstebo wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa vijana wenye sifa zifuatazo: –

1.           Wenye elimu ya kidato cha Nne Sita za mwombaji.

  1. Awe raia wa Tanzania kwa kuzaliwa
    1. Awe na cheti cha kuzaliwa
    1. Awe na Kitambulisho cha Taifa au Namba ya Utambulisho iliyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho (NIDA)
    1. Awe na afya njema kimwili na kiakili
    1. Asiwe na Kumbukumbu za Uhalifu
    1. Awe hajaoa au kuolewa
    1. Asiwe na alama za kuchorwa mwilini (Tatoos)
    1. Awe hajawahi kutumia aina yoyote ya madawa ya kulevya
    1. Awe tayari kuhudhuria mafunzo ya taaluma ya Zimamoto na Uokoaji
    1. Awe hajawahi kuajiriwa serikalini
    1. Awe mwenye urefu usiopungua futi 5.7 kwa mwanaume na futi 5.4

kwa mwanamke

  1. Awe tayari kujigharamia katika hatua zote za usaili endapo ataitwa

m) Umri kuanzia miaka 18 hadi 25

  • Wenye elimu ya kidato cha nne au sita ambao wana ujuzi wa udereva wa magari makubwa, Utundi bomba, Uuguzi, taaluma ya Zimamoto na Uokoaji, Utabibu na Urubani wa Helikopta.

Sita za mwombaji.

  1. Sifa zote zilizoainishwakwenye Aya ya 1 (a hadi m)
    1. Marubani wa Helikopta umri kuanzia miaka 18 hadi 35
    1. Madereva, awe na leseni daraja E na umri kuanzia miaka 18 hadi 28 (watakaoitwa kwenye Usaili watafanyiwa uhakiki kwa njia ya vitendo, kuendesha magari makubwa)

3.    Wenye Shahada.

Uhandisi Bahari (Marine engineering), TEHAMA, Uhandisi wa Ndege (Aircraft maintenance engineers), Lugha (Kingereza), Ukadiriaji Majenzi (QS), Teknolojia ya habari (Multi-media technology), Uchumi, Sheria (waliohitimu shule ya sheria kwa vitendo), Ualimu (Education management), Usafirishaji Barabara na Reli (Road & railways transport logistics management) na Uhandisi Kemikali (Chemical processing engineering).

Sita za mwombaji.

  1. Sifa zote zilizoainishwa kwenye Aya ya 1 (a hadi I)
    1. Umri kuanzia miaka 18 hadi 28

4.              Namna ya kufanya maombi.

Maombi yote yawasilishwe kupitia mfumo wa ajira wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji unaopatikana  kupitia  kikoa  cha  ajira.zimamoto.go.tz mwisho  wa kutuma  maombi  ni tarehe 28 Februari, 2025.

Mwombaji aambatishe kwenye mfumo nyaraka zifuatazo: –

Usikose Kusoma na Hizi Pia

Matokeo ya Kidato cha Sita 2025 (Form Six Results)

Chuo cha Excellent College of Health and Allied Sciences – Kibaha: Kozi zinazotolewa, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga na Chuo

Chuo cha Elijerry College of Health and Allied Sciences: Kozi zinazotolewa, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga

Chuo cha City College of Health and Allied Sciences – Mwanza Campus: Kozi, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga

Chuo cha Arusha Technical College: Kozi Zinazotolewa, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga

Waliochaguliwa Vyuo vya Kati 2025/2026

Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2025 – 2026

Shule Walizopangiwa Kidato cha Tano 2025/2026 (Orodha na Majina ya Shule Walizopangiwa form five)

Tamisemi Uchaguzi wa Kidato cha Tano na Vyuo vya Kati, 2025

Form Five Selection 2025 – 2026 (Uchaguzi wa Kidato Cha Tano na Vyuo vya Kati)

Load More
Buy JNews Buy JNews Buy JNews
ADVERTISEMENT
  1. Barua ya maombi iliyoandikwa kwa mkono
    1. Nakaia ya cheti cha kuzaliwa
    1. Fomu ya uthibitisho wa siha njema kutoka kwa mganga wa serikali
    1. Nakala ya Kitambulisho cha Taifa au namba ya NIDA
    1. Picha ya Pasipoti ya hivi karibuni
    1. Namba ya mtihani wa Kidato cha Nne
  • Namba ya mtihani wa Kidato cha Sita
    • Nakala   ya   vyeti   vya   kuhitimu   elimu ya shahada  au taaluma kutoka vyuo

vinavyotambulika na Serikali

  1. Barua ya Utambulisho kutoka kwa Afisa mt€ nda ji wa Kijiji/mtaa

NB:

  1. Nakala za vyeti zithibitishwe na Kamishna wa viapo au Hak.imu
  2. Barua   zitakaz.owasilishwa  kwa  njia    ya posta, mkono au kwa barua pepe

hazitapokelewa

  • Waombaji wote waandike namba za simu kwenye barua zao za maombi
  • Mwombaji atakayewasilisha nyaraka za kughushi au taarifa za uwongo atachukuliwa hatua za kisheria.

       

DOWNLOAD TANGAZO LA AJIRA PDF

SendShareShareTweet
Zoteforum

Zoteforum

Karibu Zoteforum.com, Tovuti yako pekee inayokupasha habari na Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani.

Makala Nyingine zaidi

NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

Nafasi Za Kazi 500 Za Udereva Daraja La Ii (Driver Ii) – Zipo Nafasi 500

June 6, 2025
Orodha Ya Shule Za Sekondari Mji wa Makambako, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Mji wa Makambako, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 11, 2025

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Makete, Matokeo, Majina Ya Waliochaguliwa Na Utaratibu Wa Kujiunga Na Masomo

May 11, 2025

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Njombe, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 11, 2025

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Wanging’ombe, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 11, 2025

Orodha Ya Shule Za Sekondari Mji wa Nanyamba, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 11, 2025
Load More

Weka maoni yako hapa au Komenti kuhusu makala hiiCancel reply

Recommended Stories

Matokeo ya Darasa la Saba Mkoa wa Morogoro

Matokeo ya Darasa la Saba 2024 Morogoro

October 29, 2024
NECTA kutangaza Matokeo Darasa la Nne na Kidato cha Pili 2024 leo tarehe 04/01/2024

NECTA kutangaza Matokeo Darasa la Nne na Kidato cha Pili 2024 leo tarehe 04/01/2024

January 5, 2025
Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Mpimbwe, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Mpimbwe, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 6, 2025
Zifahamu Shule Zote za Sekondari Zilizopo Katika Wilaya ya Namtumbo, Matokeo ya NECTA na Mock, Majina ya Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza na cha Tano, na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo Katika Shule Hizo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Namtumbo, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 11, 2025
Kozi za NACTE

Kozi ya Ordinary Diploma in Optometry, Sifa na Vigezo, Vyuo Vinavyotoa

January 18, 2025
Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha MCHAS

Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha MCHAS 2025/2026 (MCHAS Selected Applicants pdf)

April 19, 2025
NACTE Online Application 2025/2026: Jinsi Kutuma Maombi ya Udahili Vyuo NACTE

NACTE Online Application 2025/2026: Jinsi Kutuma Maombi ya Udahili Vyuo NACTE

March 30, 2025
Orodha Ya Shule Za Sekondari Mji wa Bariadi, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Mji wa Bariadi, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 13, 2025
Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha MJNUAT 2025/2026 (MJNUAT Selected Applicants)

Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha MJNUAT 2025/2026 (MJNUAT Selected Applicants)

April 19, 2025
  • About
  • Cart
  • Checkout
  • Contact
  • Download Mziki na Nyimbo mpya
  • Habari za Burudani
  • Habari za Elimu
  • Habari za Soka
  • Home
  • Matokeo Ya Mitihani Tanzania – NECTA – MOCK – VYUO
  • My account
  • Nafasi za Kazi 2024
  • Offerings
  • Shop
  • Subscription
Call us: +1 234 JEG THEME

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
No Result
View All Result
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.