zoteforum.com
No Result
View All Result
  • Login
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
PRICING
JIUNGE
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
No Result
View All Result
zoteforum.com
No Result
View All Result

Nafasi za Kazi Halmashauri ya Mji Tarime (Mpishi na Dereva)

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Tarime anayofuraha kuwatangazia nafasi Nne (04) za kazi katika Ajira ya kudumu kwa Watanzania wote wenye sifa stahiki baada ya kupokea Kibali cha Ajira mpya kwa Mwaka 2024/2025 chenye Kumb. Na. FA.97/288/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili, 2025 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora.


1.0 MPISHI DARAJA LA II NAFASI MBILI (02)

1.1 KAZI NA MAJUKUMU:

  • Kusafisha jiko.
  • Kupika chakula cha kawaida.
  • Kupika vyakula vya aina mbalimbali.
  • Kuhakikisha vyombo vya kupikia vyakula viko safi.
  • Kusafisha maeneo ya kupikia.

1.1.1 SIFA ZA MWOMBAJI:

  • Awe amehitimu elimu ya kidato cha IV.
  • Awe amefuzu mafunzo ya cheti yasiyopungua mwaka mmoja katika fani ya ‘Food Production’ yatolewayo na vyuo vya forodhani (Dar es Salaam), Masoka (Moshi), Arusha Hotel, VETA (Mikumi) na Vision Hotel (Dar es Salaam) au vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.

1.1.2 MSHAHARA

Kwa kuzingatia ngazi ya mshahara wa Serikali Mpishi Daraja la II ataanza na TGS C kwa mwezi.


1.2 DEREVA DARAJA LA II NAFASI MBILI (02)

1.2.1 KAZI NA MAJUKUMU YA DEREVA

  • Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari.
  • Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi.
  • Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari.
  • Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali.
  • Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari.
  • Kufanya usafi wa gari.
  • Kufanya kazi nyingine atakazoelekezwa na msimamizi wake.

1.2.2 SIFA ZA MWOMBAJI:

  • Awe amehitimu elimu ya kidato cha IV.
  • Awe na leseni ya udereva ya Daraja la “C” au “E” ya uendeshaji Magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja bila kusababisha ajali, pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika.
  • Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya uendeshaji magari (Basic Driving Course) yatolewayo na chuo cha VETA au NIT au chuo kingine kinachotambuliwa na serikali.

1.2.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia ngazi ya mshahara wa Serikali Dereva Daraja la II ataanza na TGS B kwa mwezi.


2.0 MASHARTI YA JUMLA KWA WAOMBAJI WOTE:

  1. Mwombaji awe raia wa Tanzania na awe na umri usiozidi miaka 45 na usiopungua miaka 18.
  2. Mwombaji awe hajawahi kushitakiwa kwa kosa lolote la jinai.
  3. Waombaji wote waambatanishe nakala za vyeti vya taaluma, nakala ya cheti cha kidato cha Nne/Sita, zilizothibitishwa na Hakimu au Wakili aliyetambulika na Serikali.
  4. Waombaji wote waambatanishe nakala ya cheti cha kuzaliwa iliyothibitishwa na Hakimu au Wakili anayetambulika na Serikali.
  5. Waombaji wote waambatanishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed Curriculum Vitae) ikiwa na anuani, namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu na picha moja ya passport size ya hivi karibuni (iandikwe majina kamili kwa nyuma).
  6. Testimonials, Provisional Results Slips, Statements of results, Hati za Matokeo za kidato cha nne na Sita (Form IV na VI Results Slips) na Transcripts ambayo haikuambatanishwa na cheti havitakubaliwa.
  7. Waombaji waliosoma nje ya Nchi ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vinahakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (NECTA au NACTE).
  8. Waombaji ambao ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia waliopo katika Utumishi wa Umma wasiombe nafasi hizi.
  9. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma kwa sababu yeyote ile hawaruhusiwi kuomba nafasi hizi.
  10. Waombaji watakaowasilisha vyeti na taarifa za kugushi watachukuliwa hatua kali za Kisheria na mamlaka zinazohusika.
  11. Waombaji wa kazi ya Dereva Daraja II wenye Leseni Daraja E au C wanapaswa kuambatanisha vyeti vya mafunzo vya udereva vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika.
  12. Maombi yote yaandikwe kwa lugha ya Kiswahili.
  13. Waombaji wote waambatanishe nakala ya Kitambulisho cha NIDA au Namba ya utambulisho wa Uraia (National Identification Number) kutoka Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).
  14. Mwisho wa kupokea Maombi ni tarehe 11/08/2025.
  15. Barua zote za maombi ziandikwe kwa anuani ifuatayo:Mkurugenzi wa Mji, Halmashauri ya Mji, S.L.P 45, TARIME
  16. Maombi yatumwe kupitia mfumo wa Ajira Portal Tovuti www.ajira.go.tz

Imetolewa na

MKURUGENZI WA MJI TARIME


Ofisi:

Ofisi ya Mkurugenzi wa Mji, 7 Barabara ya Utawala, S.L.P 45, 31482 TARIME Simu Na.: +255 28 2690218 Nukushi: +255 28 2690218 Barua pepe: td@tarimetc.go.tz Unapojibu tafadhali taja: Kumb.Na. HMT/E.1/33/125

Buy JNews Buy JNews Buy JNews
ADVERTISEMENT

Usikose Kusoma na Hizi Pia

SUA Selected Applicants 2025/2026 pdf (Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha SUA )

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Dodoma

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Mwanza

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Katavi

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Kagera

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Iringa

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Geita

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Kilimanjaro

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Dar es Salaam

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Arusha

Load More
SendShareShareTweet
Zoteforum

Zoteforum

Karibu Zoteforum.com, Tovuti yako pekee inayokupasha habari na Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani.

Makala Nyingine zaidi

Form One Selection 2026 Arusha – waliochaguliwa kidato cha kwanza Arusha

Form One Selection 2026 Morogoro – waliochaguliwa kidato cha kwanza Morogoro

Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha Mzumbe

Mzumbe Selected Applicants 2025/2026 pdf (Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha Mzumbe)

Orodha ya Shule za Msingi Wilaya ya Chato, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa, na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

Orodha Ya Shule Za Msingi Wilaya ya Kongwa, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

Orodha Ya Shule Za Msingi Mji wa Kondoa, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA NANYUMBU 02-08-2025

Load More

Weka maoni yako hapa au Komenti kuhusu makala hiiCancel reply

  • About
  • Cart
  • Checkout
  • Contact
  • Download Mziki na Nyimbo mpya
  • Habari za Burudani
  • Habari za Elimu
  • Habari za Soka
  • Home
  • Matokeo Ya Mitihani Tanzania – NECTA – MOCK – VYUO
  • My account
  • Nafasi za Kazi 2024
  • Offerings
  • Shop
  • Subscription
Call us: +1 234 JEG THEME

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
No Result
View All Result
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.