zoteforum.com
No Result
View All Result
  • Login
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
PRICING
JIUNGE
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
No Result
View All Result
zoteforum.com
No Result
View All Result

Nafasi za Kazi Halmashauri ya Mji Tarime (Mpishi na Dereva)

Zoteforum by Zoteforum
July 31, 2025
in Uncategorized, Nafasi za kazi

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Tarime anayofuraha kuwatangazia nafasi Nne (04) za kazi katika Ajira ya kudumu kwa Watanzania wote wenye sifa stahiki baada ya kupokea Kibali cha Ajira mpya kwa Mwaka 2024/2025 chenye Kumb. Na. FA.97/288/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili, 2025 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora.


1.0 MPISHI DARAJA LA II NAFASI MBILI (02)

1.1 KAZI NA MAJUKUMU:

  • Kusafisha jiko.
  • Kupika chakula cha kawaida.
  • Kupika vyakula vya aina mbalimbali.
  • Kuhakikisha vyombo vya kupikia vyakula viko safi.
  • Kusafisha maeneo ya kupikia.

1.1.1 SIFA ZA MWOMBAJI:

  • Awe amehitimu elimu ya kidato cha IV.
  • Awe amefuzu mafunzo ya cheti yasiyopungua mwaka mmoja katika fani ya ‘Food Production’ yatolewayo na vyuo vya forodhani (Dar es Salaam), Masoka (Moshi), Arusha Hotel, VETA (Mikumi) na Vision Hotel (Dar es Salaam) au vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.

1.1.2 MSHAHARA

Kwa kuzingatia ngazi ya mshahara wa Serikali Mpishi Daraja la II ataanza na TGS C kwa mwezi.


1.2 DEREVA DARAJA LA II NAFASI MBILI (02)

1.2.1 KAZI NA MAJUKUMU YA DEREVA

  • Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari.
  • Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi.
  • Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari.
  • Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali.
  • Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari.
  • Kufanya usafi wa gari.
  • Kufanya kazi nyingine atakazoelekezwa na msimamizi wake.

1.2.2 SIFA ZA MWOMBAJI:

  • Awe amehitimu elimu ya kidato cha IV.
  • Awe na leseni ya udereva ya Daraja la “C” au “E” ya uendeshaji Magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja bila kusababisha ajali, pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika.
  • Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya uendeshaji magari (Basic Driving Course) yatolewayo na chuo cha VETA au NIT au chuo kingine kinachotambuliwa na serikali.

1.2.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia ngazi ya mshahara wa Serikali Dereva Daraja la II ataanza na TGS B kwa mwezi.


2.0 MASHARTI YA JUMLA KWA WAOMBAJI WOTE:

  1. Mwombaji awe raia wa Tanzania na awe na umri usiozidi miaka 45 na usiopungua miaka 18.
  2. Mwombaji awe hajawahi kushitakiwa kwa kosa lolote la jinai.
  3. Waombaji wote waambatanishe nakala za vyeti vya taaluma, nakala ya cheti cha kidato cha Nne/Sita, zilizothibitishwa na Hakimu au Wakili aliyetambulika na Serikali.
  4. Waombaji wote waambatanishe nakala ya cheti cha kuzaliwa iliyothibitishwa na Hakimu au Wakili anayetambulika na Serikali.
  5. Waombaji wote waambatanishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed Curriculum Vitae) ikiwa na anuani, namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu na picha moja ya passport size ya hivi karibuni (iandikwe majina kamili kwa nyuma).
  6. Testimonials, Provisional Results Slips, Statements of results, Hati za Matokeo za kidato cha nne na Sita (Form IV na VI Results Slips) na Transcripts ambayo haikuambatanishwa na cheti havitakubaliwa.
  7. Waombaji waliosoma nje ya Nchi ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vinahakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (NECTA au NACTE).
  8. Waombaji ambao ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia waliopo katika Utumishi wa Umma wasiombe nafasi hizi.
  9. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma kwa sababu yeyote ile hawaruhusiwi kuomba nafasi hizi.
  10. Waombaji watakaowasilisha vyeti na taarifa za kugushi watachukuliwa hatua kali za Kisheria na mamlaka zinazohusika.
  11. Waombaji wa kazi ya Dereva Daraja II wenye Leseni Daraja E au C wanapaswa kuambatanisha vyeti vya mafunzo vya udereva vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika.
  12. Maombi yote yaandikwe kwa lugha ya Kiswahili.
  13. Waombaji wote waambatanishe nakala ya Kitambulisho cha NIDA au Namba ya utambulisho wa Uraia (National Identification Number) kutoka Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).
  14. Mwisho wa kupokea Maombi ni tarehe 11/08/2025.
  15. Barua zote za maombi ziandikwe kwa anuani ifuatayo:Mkurugenzi wa Mji, Halmashauri ya Mji, S.L.P 45, TARIME
  16. Maombi yatumwe kupitia mfumo wa Ajira Portal Tovuti www.ajira.go.tz

Imetolewa na

MKURUGENZI WA MJI TARIME


Ofisi:

Ofisi ya Mkurugenzi wa Mji, 7 Barabara ya Utawala, S.L.P 45, 31482 TARIME Simu Na.: +255 28 2690218 Nukushi: +255 28 2690218 Barua pepe: td@tarimetc.go.tz Unapojibu tafadhali taja: Kumb.Na. HMT/E.1/33/125

Buy JNews Buy JNews Buy JNews
ADVERTISEMENT

Usikose Kusoma na Hizi Pia

Haya hapa Majina ya walioitwa kazini Katika taasisi mbalimbali za Umma leo tarehe 31/07/2025

Haya hapa Majina ya walioitwa kwenye Usaili Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma 30-07-2025

Chuo cha Accra College of Health and Allied Sciences, Kozi zinazotolewa, ada za masomo, fomu za kujiunga na chuo

A3 Institute of Professional Studies: Kozi Zinazotolewa, Ada za Masomo, Fomu za Kujiunga na Chuo

Nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja la II – 5 Post

MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII DARAJA LA II – 2 POST – Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

DEREVA DARAJA II – 2 POST – Halmashauri ya Mji wa Tarime

MPISHI DARAJA LA II – 2 POST – Halmashauri ya Mji wa Tarime

MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 6 POST -Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

NAFASI YA KAZI DEREVA DARAJA II – 3 – Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

Load More
SendShareShareTweet
Zoteforum

Zoteforum

Karibu Zoteforum.com, Tovuti yako pekee inayokupasha habari na Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani.

Makala Nyingine zaidi

NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

Haya hapa Majina ya walioitwa kazini Katika taasisi mbalimbali za Umma leo tarehe 31/07/2025

July 31, 2025
NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

Haya hapa Majina ya walioitwa kwenye Usaili Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma 30-07-2025

July 31, 2025

Nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja la II – 5 Post

July 29, 2025

MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII DARAJA LA II – 2 POST – Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

July 29, 2025

DEREVA DARAJA II – 2 POST – Halmashauri ya Mji wa Tarime

July 29, 2025

MPISHI DARAJA LA II – 2 POST – Halmashauri ya Mji wa Tarime

July 29, 2025
Load More

Weka maoni yako hapa au Komenti kuhusu makala hiiCancel reply

Recommended Stories

Na fasi za kazi kampuni ya Meridianbet, anahitajika Mwandishi wa Maudhui ya Kidijitali

Na fasi za kazi kampuni ya Meridianbet, anahitajika Mwandishi wa Maudhui ya Kidijitali

April 22, 2025
From Five Selection 2025

Form Five Selection 2025 Ruvuma – Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2025 Ruvuma

June 6, 2025
Bei Ya Toyota Land Cruiser Mpya Tanzania

Bei Ya Toyota Land Cruiser Mpya Tanzania

March 18, 2025
 Nafasi Za Kazi Serikalini katika Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (Must)

 Nafasi Za Kazi Serikalini katika Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (Must)

April 26, 2025
Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha KICoB

Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha KICoB 2025/2026 (KICoB Selected Applicants pdf)

April 19, 2025
Zifahamu Shule Zote Za Sekondari Zilizopo Katika Wilaya Ya Mbinga, Matokeo Ya NECTA Na Mock, Majina Ya Waliochaguliwa Kidato Cha Kwanza Na Cha Tano Na Utaratibu Wa Kujiunga Na Masomo Katika Shule Hizo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Mbinga, Matokeo, Majina Ya Waliochaguliwa Na Utaratibu Wa Kujiunga Na Masomo

May 11, 2025
Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Butiama

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Butiama

May 7, 2025
Nafasi Za Kazi/ Ajira mpya Za Ualimu Disemba 2024 Sekretarieti ya Ajira (Nafasi 3633)

Serikali Yamwaga Ajira Za Ualimu 1,714 , Fahamu jinsi ya kutuma maombi sifa na Vigezo hapa

June 6, 2025
Zijue Dalili za Saratani (kansa), Sababu na Tiba

Zijue Dalili za Saratani (kansa), Sababu na Tiba

April 27, 2025
  • About
  • Cart
  • Checkout
  • Contact
  • Download Mziki na Nyimbo mpya
  • Habari za Burudani
  • Habari za Elimu
  • Habari za Soka
  • Home
  • Matokeo Ya Mitihani Tanzania – NECTA – MOCK – VYUO
  • My account
  • Nafasi za Kazi 2024
  • Offerings
  • Shop
  • Subscription
Call us: +1 234 JEG THEME

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
No Result
View All Result
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.