zoteforum.com
No Result
View All Result
  • Login
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
PRICING
JIUNGE
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
No Result
View All Result
zoteforum.com
No Result
View All Result

NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA NANYUMBU 02-08-2025

Zoteforum by Zoteforum
August 2, 2025
in Nafasi za kazi

Tangazo La Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Nanyumbu

Utangulizi

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu kupitia kibali cha ajira mpya chenye kumb. Na.FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili, 2025 chenye nafasi ya Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja II (4) na nafasi ya Dereva Daraja II (5) kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Hivyo Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu anatangaza nafasi za kazi na anakaribisha maombi kwa Watanzania wenye sifa za kujaza nafasi hizo kama ifuatavyo:


1.0 Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja II (Nafasi 04)

1.1 Majukumu ya Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja II

  • Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida na za siri
  • Kupokea wageni na kuwasilisha shida zao na kuwaeleza wanapoweza kusaidiwa
  • Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine
  • Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi
  • Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika
  • Kukusanya, kutunza na kuyarejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika
  • Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mbalimbali
  • Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi

1.2 Sifa za Mombaaji

  • Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six)
  • Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili
  • Kufuzu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza kwa maneno 100 kwa dakika
  • Kuwa na ujuzi wa kutumia programu za kompyuta za ofisi kama: Word, Excel, PowerPoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali

1.3 Ngazi ya Mshahara

  • Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali – TGS C1

2.0 Dereva Daraja la II (Nafasi 05)

2.1 Majukumu ya Dereva Daraja la II

  • Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari
  • Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi
  • Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari
  • Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali
  • Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari
  • Kufanya usafi wa gari
  • Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake
  • Pamoja na kazi zingine utakazopangiwa na Mwajiri wako

2.2 Sifa za Mombaaji

  • Elimu ya Kidato cha Nne (IV) au Sita (VI)
  • Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari
  • Experience ya kazi ya angalau mwaka mmoja bila kusababisha ajali
  • Vyeti vya mafunzo ambayo vinatoa sifa ya kupata madaraja husika
  • Mahudhurio ya mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari (Basic Driving Course) kutoka VETA au chuo kinachotambuliwa na Serikali

2.3 Ngazi ya Mshahara

  • Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali – TGS B1

3.0 Masharti ya Jumla kwa Waombaji Kazi

  • Waombaji wote wawe ni raia wa Tanzania na wenye umri kuanzia miaka 18 hadi 45
  • Waombaji wenye ulemavu wanahamasishwa kutuma maombi na wanapaswa kuainisha ulemavu wao kwenye Mfumo wa kuombea ajira
  • Waombaji waambatise maelezo binafsi (Detail Curriculum Vitae) yenye anuani, namba za simu na barua pepe pamoja na majina ya wadhamini watatu wa kuaminika
  • Maombi yaambatane na vyeti vya Elimu na Taaluma vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili, ikiwemo vyeti vya Kidato cha Nne au Sita na vyeti vya mafunzo mbalimbali
  • “Testimonial“, “Provisional Results“, “Statement of results“ na hati za matokeo ya Kidato cha Nne na Sita (Form IV and VI Results Slips) HAVITAKUBALIWA
  • Waombaji wa kazi za Dereva waambatise vyeti vya mafunzo na leseni husika
  • Waombaji waliostaafu katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba kazi bila kibali kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi
  • Waombaji waliopo katika Utumishi wa Umma wasiendeleze kuomba kazi ila kama wanapata kibali maalum
  • Kuwasilishwa kwa taarifa na sifa za kughushi kutachukuliwa hatua za kisheria
  • Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 14/8/2025

4.0 Jinsi ya Kuomba

  • Maombi ya kazi yatumwe pamoja na barua ya maombi ya kazi iliyosainiwa, vyeti vya elimu, na anuani kwa: MKURUGENZI MTENDAJI, HALMASHAURI YA WILAYA YA NANYUMBU, S.L.P 246, NANYUMBU – MTWARA
  • Maombi yote yatumwe kupitia mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani: https://portal.ajira.go.tz/
  • Maombi yanayotumwa nje ya utaratibu huu hayatatafikiwa

Imetolewa na:

Ibrahim J. Mwanauta Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

 TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA NANYUMBU 02-08-2025

Buy JNews Buy JNews Buy JNews
ADVERTISEMENT

Usikose Kusoma na Hizi Pia

WALIOITWA KAZINI CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI 01-08-2025

WALIOITWA KAZINI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM 01-08-2025

TANGAZO LA KUITWA KAZINI KITUO CHA ZANA ZA KILIMO NA TEKNOLOJIA VIJIJINI (CAMARTEC) 01-08-2025

NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA KIGOMA UJIJI 01-08-2025

NAFASI ZA KAZI (15) HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU 01-08-2025

NAFASI ZA KAZI (7)HALMASHAURI YA MJI WA BABATI 01-08-2025

NAFASI ZA KAZI (7) HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA 01-08-2025

NAFASI ZA KAZI (23) CHUO CHA MAJI 01-08-2025

NAFASI ZA KAZI (14) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA 01-08-2025

NAFASI ZA KAZI (10) HALMASHAURI YA WILAYA YA BARIADI 31-07-2025

Load More
SendShareShareTweet
Zoteforum

Zoteforum

Karibu Zoteforum.com, Tovuti yako pekee inayokupasha habari na Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani.

Makala Nyingine zaidi

NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

WALIOITWA KAZINI CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI 01-08-2025

August 2, 2025
NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

WALIOITWA KAZINI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM 01-08-2025

August 2, 2025

TANGAZO LA KUITWA KAZINI KITUO CHA ZANA ZA KILIMO NA TEKNOLOJIA VIJIJINI (CAMARTEC) 01-08-2025

August 2, 2025

NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA KIGOMA UJIJI 01-08-2025

August 2, 2025

NAFASI ZA KAZI (15) HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU 01-08-2025

August 2, 2025

NAFASI ZA KAZI (7)HALMASHAURI YA MJI WA BABATI 01-08-2025

August 2, 2025
Load More

Weka maoni yako hapa au Komenti kuhusu makala hiiCancel reply

Recommended Stories

Bei Ya Audi Tanzania, Used, New na Old Model

Bei Ya Audi Tanzania, Used, New na Old Model

March 9, 2025
Kozi za NACTE

Kozi ya Ordinary Diploma in Electronics and Telecommunication Engineering, Sifa na Vigezo, Vyuo Vinavyotoa

January 17, 2025
Zifahamu Shule Zote za Sekondari Zilizopo Katika Wilaya ya Kasulu, Matokeo ya NECTA na Mock, Majina ya Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza na cha Tano, na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo Katika Shule Hizo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Kasulu, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 6, 2025
DUNIA EP 38

DUNIA EP 38: Angalia Series ya Dunia Sehemu ya 38 Online

January 15, 2025
From Five Selection 2025

Form Five Selection 2025 – 2026 (Uchaguzi wa Kidato Cha Tano na Vyuo vya Kati)

June 9, 2025
Zifahamu Shule Zote za Sekondari Zilizopo Katika Manispaa ya Songea, Matokeo ya NECTA na Mock, Majina ya Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza na cha Tano, na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo Katika Shule Hizo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Manispaa ya Songea, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 11, 2025
Bei Ya Faw Mpya Tanzania

Bei Ya Faw Mpya Tanzania

March 11, 2025
NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

NAFASI ZA KAZI – ICT OFFICER GRADE II (DATA ANALYST) – 1 POST – Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGa)

July 29, 2025
NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

MPISHI DARAJA LA II – 2 POST – Halmashauri ya Mji wa Tarime

July 29, 2025
  • About
  • Cart
  • Checkout
  • Contact
  • Download Mziki na Nyimbo mpya
  • Habari za Burudani
  • Habari za Elimu
  • Habari za Soka
  • Home
  • Matokeo Ya Mitihani Tanzania – NECTA – MOCK – VYUO
  • My account
  • Nafasi za Kazi 2024
  • Offerings
  • Shop
  • Subscription
Call us: +1 234 JEG THEME

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
No Result
View All Result
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.