zoteforum.com
No Result
View All Result
  • Login
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
PRICING
JIUNGE
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
No Result
View All Result
zoteforum.com
No Result
View All Result

MAJINA YA WALIMU WALIOITWA KAZINI MACHI, 2025 –  TANGAZO LA KUITWA KAZINI WALIMU

Zoteforum by Zoteforum
March 21, 2025
in Nafasi za kazi

TANGAZO LA KUITWA KAZINI Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.

Waombaji waliofaulu usaili wanatakiwa kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma zilizopo katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwenye Majengo ya Dkt. Asha Rose Migiro, Masjala ya wazi ndani ya siku saba kutoka tarehe ya tangazo hili na baada ya hapo barua ambazo hazitachukuliwa na wahusika zitatumwa kupitia anuani zao za Posta.

Aidha, waombaji kazi waliofaulu usaili na kupangiwa kituo cha kazi wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri katika muda ambao umeainishwa kwenye barua za kupangiwa kituo cha kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals Certificates) za masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya Ajira. Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi zitakapotangazwa.

MUHIMU: Wanaokuja kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi wanapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi; Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria, Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi, Kitambulisho cha Mpiga kura au Leseni ya Udereva.

Bofya linki hapo chini kupata orodha ya majina hayo

  •  TANGAZO LA KUITWA KAZINI WALIMU NA KADA MBALIMBALI 21-03-2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI WALIMU 20-03-2025
  •  TANGAZO LA KUITWA KAZINI WALIMU 18-03-2025
  •  TANGAZO LA KUITWA KAZINI WALIMU 17-03-2025
  •  TANGAZO LA KUITWA KAZINI WALIMU 15-03-2025
  •  TANGAZO LA KUITWA KAZINI WALIMU NA KADA MBALIMBALI 15-03-2025
  •  TANGAZO LA KUITWA KAZINI WALIMU NA KADA MBALIMBALI 15-03-2025
  •  TANGAZO LA KUITWA KAZINI WALIMU NA KADA MBALIMBALI 14-03-2025
Buy JNews Buy JNews Buy JNews
ADVERTISEMENT

Usikose Kusoma na Hizi Pia

Haya hapa Majina ya walioitwa kazini Katika taasisi mbalimbali za Umma leo tarehe 31/07/2025

Haya hapa Majina ya walioitwa kwenye Usaili Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma 30-07-2025

Nafasi za Kazi Halmashauri ya Mji Tarime (Mpishi na Dereva)

Chuo cha Accra College of Health and Allied Sciences, Kozi zinazotolewa, ada za masomo, fomu za kujiunga na chuo

A3 Institute of Professional Studies: Kozi Zinazotolewa, Ada za Masomo, Fomu za Kujiunga na Chuo

Nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja la II – 5 Post

MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII DARAJA LA II – 2 POST – Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

DEREVA DARAJA II – 2 POST – Halmashauri ya Mji wa Tarime

MPISHI DARAJA LA II – 2 POST – Halmashauri ya Mji wa Tarime

MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 6 POST -Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

Load More
SendShareShareTweet
Zoteforum

Zoteforum

Karibu Zoteforum.com, Tovuti yako pekee inayokupasha habari na Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani.

Makala Nyingine zaidi

NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

Haya hapa Majina ya walioitwa kazini Katika taasisi mbalimbali za Umma leo tarehe 31/07/2025

July 31, 2025
NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

Haya hapa Majina ya walioitwa kwenye Usaili Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma 30-07-2025

July 31, 2025

Nafasi za Kazi Halmashauri ya Mji Tarime (Mpishi na Dereva)

July 31, 2025

Nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja la II – 5 Post

July 29, 2025

MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII DARAJA LA II – 2 POST – Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

July 29, 2025

DEREVA DARAJA II – 2 POST – Halmashauri ya Mji wa Tarime

July 29, 2025
Load More

Weka maoni yako hapa au Komenti kuhusu makala hiiCancel reply

Recommended Stories

Bei Ya Toyota Crown used, mpya na New model Tanzania 2025

Bei Ya Toyota Crown used, mpya na New model Tanzania 2025

March 9, 2025
Orodha Ya Shule Za Sekondari Mkoa wa Geita, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Mkoa wa Geita, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 17, 2025
GOTHOMIS Tamisemi Login: Jinsi ya kuingia kwenye mfumo wa GoTHoMIS

GOTHOMIS Tamisemi Login: Jinsi ya kuingia kwenye mfumo wa GoTHoMIS

January 16, 2025
Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha KIUT

Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha KIUT 2025/2026 (KIUT Selected Applicants)

April 19, 2025
Orodha Ya Shule Za Sekondari Mkoa wa Tabora, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Mkoa wa Tabora, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 17, 2025
Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Ikungi, Matokeo, Majina Ya Waliochaguliwa Na Utaratibu Wa Kujiunga Na Masomo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Ikungi, Matokeo, Majina Ya Waliochaguliwa Na Utaratibu Wa Kujiunga Na Masomo

May 13, 2025
Jinsi ya Kutuma Maombi ya Udahili wa Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius K. Nyerere cha Kilimo na Teknolojia kwa Mwaka wa Masomo 2025/2026 (MJNUAT Application 2025/2026)

Maombi ya Udahili Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius K. Nyerere cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT Application 2025/2026)

April 18, 2025
Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Monduli, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Monduli, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 4, 2025
Chuo cha Arusha Technical College: Kozi Zinazotolewa, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga

Chuo cha Excellent College of Health and Allied Sciences – Kibaha: Kozi zinazotolewa, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga na Chuo

July 5, 2025
  • About
  • Cart
  • Checkout
  • Contact
  • Download Mziki na Nyimbo mpya
  • Habari za Burudani
  • Habari za Elimu
  • Habari za Soka
  • Home
  • Matokeo Ya Mitihani Tanzania – NECTA – MOCK – VYUO
  • My account
  • Nafasi za Kazi 2024
  • Offerings
  • Shop
  • Subscription
Call us: +1 234 JEG THEME

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
No Result
View All Result
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.