NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI 24-07-2025 - zoteforum.com
zoteforum.com
No Result
View All Result
  • Login
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
PRICING
JIUNGE
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
No Result
View All Result
zoteforum.com
No Result
View All Result

NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI 24-07-2025

Zoteforum by Zoteforum
July 27, 2025
in Nafasi za kazi

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi amepokea kibali cha ajira mpya kwa mwaka wa 2024/2025 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb. Na. FA.97/288/01/A/25 cha tarehe 29/04/2025. Hivyo Watanzania wote wenye sifa wanatangaziwa kutuma maombi ya kazi kwa nafasi zifuatazo:


1.1 DEREVA DARAJA LA II – NAFASI 3

1.1.1 Kazi na Majukumu

i. Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari. ii. Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi. iii. Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari. iv. Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali. v. Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari. vi. Kufanya usafi wa gari. vii. Kufanya kazi nyingine kadri utakavyoelekezwa na Msimamizi wako.

1.1.2 Sifa ya Mwombaji

  • Kuajiriwa wenye cheti cha Kidato cha Nne (Form IV).
  • Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali.
  • Vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika.
  • Wahudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji Magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

1.1.3 Ngazi ya Mshahara

Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali, yaani TGS B.


1.1.4 Msaidizi wa Kumbukumbu DARAJA LA II – NAFASI 3

1.1.5 Kazi na Majukumu

i. Kuorodhesha barua zinazoingia kwenye regista (incoming correspondence register). ii. Kuorodhesha barua zinazotoka nje ya taasisi (outgoing correspondence register). iii. Kusambaza majalada kwa watendaji (Action officers). iv. Kupokea majalada yanayorudi masjala toka kwa watendaji. v. Kurudisha majalada kwenye shabaha/kabati la majalada (racks/filling cabinets) au mahala pengine yanapohifadhiwa. vi. Kufuatilia mzunguko wa majalada ndani ya taasisi (File tracking).

1.1.6 Sifa za Mwombaji

  • Awe amehitimu Elimu ya Kidato cha Nne (IV) au Sita (VI).
  • Aliyehitimu Stashahada (NTA Level 6) katika fani ya utunzaji wa kumbukumbu kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
  • Mwenye ujuzi wa kompyuta.

1.1.7 Ngazi ya Mshahara

Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali, yaani TGS C.


MASHARTI YA JUMLA KWA WAOMBAJI

i. Waombaji wote wawe ni raia wa Tanzania na wenye umri wa kuanzia miaka 18 hadi 45.

ii. Waombaji wote waambatishe maelezo binafsi yaliyojitosheleza (Detail Curriculum Vitae) yenye anuani inayotumika, namba za simu zinazopatikana, Anuani ya Barua Pepe (E-mail address), pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.

Usikose Kusoma na Hizi Pia

Nafasi za Kazi Kilombero Sugar, Nafasi 26 | Julai 2025

Nafasi za Kazi GGM – Julai 2025

Nafasi za kazi YAS Tanzania – JULAI 2025

Mwongozo wa Udahili wa TCU 2025/26 (TCU Guidebook 2025/2026 pdf)

MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA ELIMU MKWAWA (MUCE) ULIOFANYIKA TAREHE 26/7/2025

NACTVET yatangaza matokeo ya uchaguzi wa waombaji wa kozi za  afya na sayansi shirikishi kwa mwaka wa masomo 2025/2026

Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Makete (Madereva Daraja La Ii – Nafasi 12)

Matokeo ya Kidato cha Sita 2025 (Form Six Results)

Chuo cha Excellent College of Health and Allied Sciences – Kibaha: Kozi zinazotolewa, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga na Chuo

Chuo cha Elijerry College of Health and Allied Sciences: Kozi zinazotolewa, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga

Load More
Buy JNews Buy JNews Buy JNews
ADVERTISEMENT

iii. Maombi yote yaambatane na nakala za vyeti vya Elimu na Taaluma vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili, ikiwemo vyeti vya Kidato cha Nne/Sita kwa wale waliofikia kiwango hicho, na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika, kama Diploma/Certificates, Cheti cha mtihani wa Kidato cha IV na VI, Cheti cha Kompyuta, na vyeti vya kitaaluma.

iv. “Testimonial”, “Provisional Results”, “Statement of Results”, hati ya matokeo ya Kidato cha Nne na Sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.

v. Waombaji waliosoma nje ya nchi wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na vimethibitishwa na mamlaka husika (TCU, NECTA, na NACTE).

vi. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba pasipo kibali kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi.

vii. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka wenye Kumb. Na. CAC.45/257/01/D/140 wa tarehe 29 Novemba, 2010.

viii. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kughushi, wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.

ix. Waombaji kazi wa kada ya Dereva II wenye leseni Daraja E au C wanapaswa kuambatanisha vyeti vya mafunzo ya udereva vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika.

x. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 04 Agosti 2025.

MUHIMU: Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa na ielekezwe kwa anuani ifuatayo:


Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi S. L. P 18 MALINYI


Muhimu:

  • Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo: https://portal.ajira.go.tz (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa ‘Recruitment Portal’).
SendShareShareTweet
Zoteforum

Zoteforum

Karibu Zoteforum.com, Tovuti yako pekee inayokupasha habari na Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani.

Makala Nyingine zaidi

Nafasi za Kazi Kilombero Sugar, Nafasi 26 | Julai 2025

Nafasi za Kazi Kilombero Sugar, Nafasi 26 | Julai 2025

July 27, 2025
Nafasi za Kazi GGM – Julai 2025

Nafasi za Kazi GGM – Julai 2025

July 27, 2025

Nafasi za kazi YAS Tanzania – JULAI 2025

July 27, 2025

Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Makete (Madereva Daraja La Ii – Nafasi 12)

July 27, 2025

Serikali Yamwaga Ajira Za Ualimu 1,714 , Fahamu jinsi ya kutuma maombi sifa na Vigezo hapa

June 6, 2025

Rais Samia apandisha mshahara kwa watumishi kutoka Tsh. 370,000 hadi 500,000

May 1, 2025
Load More

Weka maoni yako hapa au Komenti kuhusu makala hiiCancel reply

Recommended Stories

Jinsi ya kupata namba ya NIDA Online (Fahamu Namba ya NIDA (NIN))

Jinsi ya kupata namba ya NIDA Online (Fahamu Namba ya NIDA (NIN))

March 20, 2025
Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha SUA

Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha SUA 2025/2026 (SUA Selected Applicants)

April 19, 2025
Dalili za Ugonjwa wa Nimonia kwa Watoto, Sababu na Tiba

Dalili za Ugonjwa wa Nimonia kwa Watoto, Sababu na Tiba

April 27, 2025
Matokeo ya Darasa la Saba 2024 (NECTA PSLE Results)

Matokeo ya Darasa la Saba Singida 2024

October 29, 2024
Matokeo ya Kidato cha nne 2024

Matokeo ya Kidato cha nne 2024 Rukwa

January 22, 2025
Fahamu Ugonjwa wa Figo kwa Watoto, Sababu, Dalili Zake na Tiba

Dalili za Ugonjwa wa Figo kwa Watoto, Sababu na Tiba

April 27, 2025
Ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Nne

Ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Nne 2024 pdf, Novemba 2024: CSEE EXAM TIMETABLE 2024

October 15, 2024
NAFASI YA KAZI: ENGINEER II (MECHANICAL ENGINEERING) – 4 POST – Shirika la Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO)

NAFASI YA KAZI: ENGINEER II (INDUSTRIAL ENGINEER).. – 1 POST – Shirika la Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO)

November 21, 2024
Fursa za Mafunzo kwa Vitendo (Internship) Benki ya Stanbic Aprili 2025

Fursa za Mafunzo kwa Vitendo (Internship) Benki ya Stanbic Aprili 2025

April 23, 2025
  • About
  • Cart
  • Checkout
  • Contact
  • Download Mziki na Nyimbo mpya
  • Habari za Burudani
  • Habari za Elimu
  • Habari za Soka
  • Home
  • Matokeo Ya Mitihani Tanzania – NECTA – MOCK – VYUO
  • My account
  • Nafasi za Kazi 2024
  • Offerings
  • Shop
  • Subscription
Call us: +1 234 JEG THEME

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
No Result
View All Result
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.