zoteforum.com
No Result
View All Result
  • Login
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
PRICING
JIUNGE
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
No Result
View All Result
zoteforum.com
No Result
View All Result

NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA KIGOMA UJIJI 01-08-2025

Zoteforum by Zoteforum
August 2, 2025
in Nafasi za kazi

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji anawatangazia Watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji kuomba nafasi za kazi zilizotajwa hapo chini, baada ya kupokea kibali kwa mwaka wa fedha 2023/2024 imepata kibali cha Ajira Mpya kwa mwaka wa Fedha 2023/2024 chenye Kumb.Na.FA.97/288/01/09 cha tarehe 25/06/2024 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.


1.0 DEREVA DARAJA LA II (NAFASI 3)


1.1 KAZI NA MAJUKUMU

i. Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari. ii. Kuwapeleka watumishi sehemu mbalimbali kwenye safari za kikazi. iii. Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari. iv. Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali. v. Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari. vi. Kufanya usafi wa gari, na vii. Kufanya kazi zingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake.


1.1.1 SIFA ZA MWOMBAJI

  • Awe amehitimu Kidato cha nne (Form IV) na kupata Cheti cha Mtihani wa Kidato cha nne (IV).
  • Awe na Leseni ya Daraja la ‘E’ au ‘C’ ya uendeshaji magari pamoja na uzoefu wa kuendesha magari kwa muda usiopungua Mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali.
  • Awe pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyoonyesha sifa ya kupata madaraja husika.
  • Awe ameenda mafunzo ya Msingi ya uendeshaji Magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

1.1.2 NGAZI YA MSHAHARA

Kwa kuzingatia ngazi ya Mishahara ya Serikali ni TGS B.


MASHARTI YA JUMLA

i. Waombaji wote wawe Raia wa Tanzania wenye umri wa kuanzia miaka 18 na usiozidi miaka 45.

ii. Waombaji wenye ulemavu wanahamasishwa kutuma maombi na wanapaswa kuainisha aina ya ulemavu kwenye mfumo wa kuombea ajira kwa ajili ya taarifa kwa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.

iii. Waombaji waambatanishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anuani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (Referees) wa kuaminika.

iv. Waombaji ambao tayari ni Waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa Umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na. CCA. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010.

Usikose Kusoma na Hizi Pia

NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA NANYUMBU 02-08-2025

WALIOITWA KAZINI CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI 01-08-2025

WALIOITWA KAZINI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM 01-08-2025

TANGAZO LA KUITWA KAZINI KITUO CHA ZANA ZA KILIMO NA TEKNOLOJIA VIJIJINI (CAMARTEC) 01-08-2025

NAFASI ZA KAZI (15) HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU 01-08-2025

NAFASI ZA KAZI (7)HALMASHAURI YA MJI WA BABATI 01-08-2025

NAFASI ZA KAZI (7) HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA 01-08-2025

NAFASI ZA KAZI (23) CHUO CHA MAJI 01-08-2025

NAFASI ZA KAZI (14) HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA 01-08-2025

NAFASI ZA KAZI (10) HALMASHAURI YA WILAYA YA BARIADI 31-07-2025

Load More
Buy JNews Buy JNews Buy JNews
ADVERTISEMENT

v. Maombi yote yaambatane na nakala ya vyeti vya Elimu na taaluma vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili (Diploma/Certificate, cheti kidato cha nne/sita, mafunzo mbalimbali, Certificate cha Computer, vyeti vya kitaaluma).

vi. Hati ya Testimonials, “Provision Results”, “Statements Results”, na matokeo ya Kidato cha Nne na Sita HAVITAKUBALIWI.

vii. Waombaji waliosoma nje ya nchi wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuthibitishwa na mamlaka husika (TCU, NECTA na NACTE).

viii. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wana kibali kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi.

ix. Uwasilishaji wa taarifa za kughushi utachukuliwa hatua za kisheria.

x. Waombaji wenye majina tofauti katika vyeti vya taaluma, kuzaliwa na NIDA waambatane DEED POLL (Hati ya Usajili wa Kiapo cha Majina).

xi. Waombaji wenye utofauti wa herufi kati ya kitambulisho cha Taifa na vyeti vya taaluma, kidato cha nne na cheti cha kuzaliwa wanatakiwa kuambatisha AFFIDAVIT (Kiapo).

xii. Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 14/08/2025.

xiii. MUHIMU: Kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu. Anuani ya maombi ielekezwe kwa: Mkurugenzi wa Manispaa, Manispaa ya Kigoma Ujiji, S.L.P 44, KIGOMA.

xiv. Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa ajira (Recruitment Portal) kupitia anwani ifuatayo: https://portal.ajira.go.tz/ xv. Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu huu HAYATAFIKIRIWA.


Limetolewa na,

Kisena M. Mabuba MKURUGENZI WA MANISPAA KIGOMA/UJIJI

SendShareShareTweet
Zoteforum

Zoteforum

Karibu Zoteforum.com, Tovuti yako pekee inayokupasha habari na Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani.

Makala Nyingine zaidi

NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA NANYUMBU 02-08-2025

August 2, 2025
NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

WALIOITWA KAZINI CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI 01-08-2025

August 2, 2025

WALIOITWA KAZINI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM 01-08-2025

August 2, 2025

TANGAZO LA KUITWA KAZINI KITUO CHA ZANA ZA KILIMO NA TEKNOLOJIA VIJIJINI (CAMARTEC) 01-08-2025

August 2, 2025

NAFASI ZA KAZI (15) HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU 01-08-2025

August 2, 2025

NAFASI ZA KAZI (7)HALMASHAURI YA MJI WA BABATI 01-08-2025

August 2, 2025
Load More

Weka maoni yako hapa au Komenti kuhusu makala hiiCancel reply

Recommended Stories

Dalili za Ugonjwa wa UTI, Sababu na Tiba

Dalili za Ugonjwa wa UTI, Sababu na Tiba

April 27, 2025
NECTA kutangaza Matokeo Darasa la Nne na Kidato cha Pili 2024 leo tarehe 04/01/2024

NECTA kutangaza Matokeo Darasa la Nne na Kidato cha Pili 2024 leo tarehe 04/01/2024

January 5, 2025
Al-Hilal vs Yanga - CAF Champions League

Matokeo ya Al-Hilal vs Yanga – CAF Champions League

January 13, 2025
Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Kaliua, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Kaliua, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 13, 2025
Maombi ya Udahili Chuo Kikuu cha Tanzania Institute of Accountancy

Maombi ya Udahili Chuo Kikuu cha Tanzania Institute of Accountancy (TIA Application 2025/2026)

April 18, 2025
NAFASI YA KAZI: ENGINEER II (MECHANICAL ENGINEERING) – 4 POST – Shirika la Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO)

NAFASI YA KAZI: ENGINEER II (BIOMEDICAL ENGINEER) – 1 POST – Shirika la Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO)

November 21, 2024
Jinsi ya Kutuma Maombi ya Udahili wa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU Application 2025/2026)

Jinsi ya Kutuma Maombi ya Udahili wa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU Application 2025/2026)

April 18, 2025
Nafasi ya kazi, anahitajika Dereva katika shirika la  World Vision

Anahitajika Afisa Fedha wa Misaada katika World Vision

April 23, 2025
Kozi za NACTE

Kozi ya Ordinary Diploma in Agriculture Production, Sifa na Vigezo, Vyuo Vinavyotoa

January 19, 2025
  • About
  • Cart
  • Checkout
  • Contact
  • Download Mziki na Nyimbo mpya
  • Habari za Burudani
  • Habari za Elimu
  • Habari za Soka
  • Home
  • Matokeo Ya Mitihani Tanzania – NECTA – MOCK – VYUO
  • My account
  • Nafasi za Kazi 2024
  • Offerings
  • Shop
  • Subscription
Call us: +1 234 JEG THEME

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
No Result
View All Result
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.