zoteforum.com
No Result
View All Result
  • Login
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
PRICING
JIUNGE
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
No Result
View All Result
zoteforum.com
No Result
View All Result

Nafasi za Kazi za kuandikishwa jeshini (JWTZ) kwa wenye fani mbalimbali

JWTZ Yatangaza Nafasi Mpya za Ajira Kwa Vijana

Zoteforum by Zoteforum
April 30, 2025
in Nafasi za kazi

Dodoma – Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa tangazo la nafasi za kujiunga na jeshi hilo kwa vijana wa Kitanzania wenye sifa za elimu kuanzia sekondari hadi chuo kikuu.

Tangazo hilo limetolewa leo Jumatano tarehe 30 Aprili, 2025 na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa JWTZ, Kanali Gaudentius Ilonda, alipokuwa akizungumza na wanahabari makao makuu ya jeshi jijini Dodoma.

Kwa mujibu wa Kanali Ilonda, JWTZ linahitaji wataalamu mbalimbali wa afya ikiwemo madaktari bingwa wa upasuaji, upasuaji wa mifupa, magonjwa ya kibofu, wataalamu wa picha za kitabibu kama vile X-ray, MRI na CT scan, madaktari wa masikio, pua na koo, wa usingizi, magonjwa ya ndani, macho, saratani, tiba za dharura na damu; pamoja na madaktari wa magonjwa ya akili na wataalamu wa uchunguzi wa sampuli za mwili. Kadhalika, nafasi zimefunguliwa kwa wataalamu wa huduma za wanyama, wahandisi wa tiba na vifaa tiba, na wataalamu wa maabara ya meno pamoja na madaktari wa afya za abiria na wahudumu wa anga.

Aidha, JWTZ inawakaribisha mafundi wa aluminium welding, welding na metal fabrication kuwasilisha maombi yao.

Kanali Ilonda amebainisha kuwa waombaji wanatakiwa kuwa raia wa Tanzania wenye kitambulisho cha taifa, afya njema na akili timamu, ambao hawajawahi kutiwa hatiani kwa kosa lolote la jinai. Waombaji wote wanapaswa kuwa na vyeti halisi vya kuzaliwa, vya masomo na taaluma husika, na wawe hawajawahi kuhudumu kwenye Jeshi la Polisi, Magereza, au Kikosi cha Kuzuia Magendo.

Sharti lingine ni kwamba mwombaji awe amehitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) au kwa mujibu wa sher ia na awe na cheti cha uthibitisho. Kigezo cha umri kwa waliohitimu kidato cha nne na sita ni miaka isiyozidi 24; stashahada wasiwe na zaidi ya miaka 26; elimu ya juu wasiwe na zaidi ya miaka 27; na madaktari bingwa isiwe zaidi ya miaka 35.

Maombi yote yaandikwe kwa mkono na kuwasilishwa makao makuu ya JWTZ Dodoma kati ya Mei 1 hadi Mei 14, 2025. Waombaji watume maombi yao yakiwa na nakala ya kitambulisho cha Taifa au namba ya NIDA, nakala ya cheti cha kuzaliwa, vyeti vya shule na chuo, hati ya kumaliza JKT (kwa waliohitimu mafunzo hayo), pamoja na namba ya simu ya mkononi.

Buy JNews Buy JNews Buy JNews
ADVERTISEMENT

Usikose Kusoma na Hizi Pia

Chuo cha City College of Health and Allied Sciences – Mwanza Campus: Kozi, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga

Chuo cha Arusha Technical College: Kozi Zinazotolewa, Maombi ya Udahili, Ada za Masomo, na Fomu za Kujiunga

Waliochaguliwa Vyuo vya Kati 2025/2026

Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2025 – 2026

Shule Walizopangiwa Kidato cha Tano 2025/2026 (Orodha na Majina ya Shule Walizopangiwa form five)

Tamisemi Uchaguzi wa Kidato cha Tano na Vyuo vya Kati, 2025

Form Five Selection 2025 – 2026 (Uchaguzi wa Kidato Cha Tano na Vyuo vya Kati)

Selection Form Five 2025 to 2026

From five selection 2025 Kagera – Waliochaguliwa kidato cha tano 2025 Kagera

Form five selection 2025 Katavi- Waliochaguliwa kidato cha tano 2025 Katavi

Load More
SendShareShareTweet
Zoteforum

Zoteforum

Karibu Zoteforum.com, Tovuti yako pekee inayokupasha habari na Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani.

Makala Nyingine zaidi

Nafasi Za Kazi/ Ajira mpya Za Ualimu Disemba 2024 Sekretarieti ya Ajira (Nafasi 3633)

Serikali Yamwaga Ajira Za Ualimu 1,714 , Fahamu jinsi ya kutuma maombi sifa na Vigezo hapa

June 6, 2025
Rais Samia apandisha mshahara kwa watumishi kutoka Tsh. 370,000 hadi 500,000

Rais Samia apandisha mshahara kwa watumishi kutoka Tsh. 370,000 hadi 500,000

May 1, 2025

Mtokeo ya Usaili TRA 2025 : Majina ya waliochaguliwa kushiriki Usahili wa Mahojiano na Vitendo TRA

April 27, 2025

 Nafasi Za Kazi Serikalini katika Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (Must)

April 26, 2025

Majina ya walioitwa Kazini Taasisi Mbalimbali Za Umma 24-04-2025 (Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma)

April 24, 2025

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA MOSHI

April 23, 2025
Load More

Weka maoni yako hapa au Komenti kuhusu makala hiiCancel reply

Recommended Stories

Matokeo ya Kidato cha pili

Matokeo ya Kidato cha pili 2024 Mkoa wa Geita

January 4, 2025
Zifahamu Shule Zote za Sekondari Zilizopo Katika Wilaya Ya Itilima, Matokeo ya NECTA na Mock, Majina ya Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza na cha Tano na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo Katika Shule Hizo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Itilima, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 13, 2025
Haemophilus ducreyi

Dalili za Ugonjwa wa Pangusa, Sababu na Tiba

April 27, 2025
Fahamu Sifa na Vigezo vya Kujiunga Na Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Institute of Technology

Sifa Za Kujiunga Na Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) 2025/2026

April 17, 2025
Fahamu Ugonjwa wa Kaswende,

Zifahamu Dalili za Ugonjwa wa Kaswende kwa Mwanaume, Sababu na Tiba

April 27, 2025
Fahamu Ugonjwa wa Lupus, Sababu, Dalili Zake na Tiba

Dalili za Ugonjwa wa Lupus, Sababu na Tiba

April 27, 2025
Linki za Magroup ya X Whatsapp Tanzania

Linki za Magroup ya X Whatsapp Tanzania

March 22, 2025
ugonjwa wa Sickle Cell (seli mundu)

Dalili za ugonjwa wa Sickle Cell (seli mundu), Sababu na Tiba

April 26, 2025
Orodha Ya Shule Za Sekondari Mji wa Kasulu, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Mji wa Kasulu, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 6, 2025
  • About
  • Cart
  • Checkout
  • Contact
  • Download Mziki na Nyimbo mpya
  • Habari za Burudani
  • Habari za Elimu
  • Habari za Soka
  • Home
  • Matokeo Ya Mitihani Tanzania – NECTA – MOCK – VYUO
  • My account
  • Nafasi za Kazi 2024
  • Offerings
  • Shop
  • Subscription
Call us: +1 234 JEG THEME

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
No Result
View All Result
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.