zoteforum.com
No Result
View All Result
  • Login
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
PRICING
JIUNGE
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
No Result
View All Result
zoteforum.com
No Result
View All Result

Nafasi za Kazi za kuandikishwa jeshini (JWTZ) kwa wenye fani mbalimbali

JWTZ Yatangaza Nafasi Mpya za Ajira Kwa Vijana

Zoteforum by Zoteforum
April 30, 2025
in Nafasi za kazi

Dodoma – Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa tangazo la nafasi za kujiunga na jeshi hilo kwa vijana wa Kitanzania wenye sifa za elimu kuanzia sekondari hadi chuo kikuu.

Tangazo hilo limetolewa leo Jumatano tarehe 30 Aprili, 2025 na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa JWTZ, Kanali Gaudentius Ilonda, alipokuwa akizungumza na wanahabari makao makuu ya jeshi jijini Dodoma.

Kwa mujibu wa Kanali Ilonda, JWTZ linahitaji wataalamu mbalimbali wa afya ikiwemo madaktari bingwa wa upasuaji, upasuaji wa mifupa, magonjwa ya kibofu, wataalamu wa picha za kitabibu kama vile X-ray, MRI na CT scan, madaktari wa masikio, pua na koo, wa usingizi, magonjwa ya ndani, macho, saratani, tiba za dharura na damu; pamoja na madaktari wa magonjwa ya akili na wataalamu wa uchunguzi wa sampuli za mwili. Kadhalika, nafasi zimefunguliwa kwa wataalamu wa huduma za wanyama, wahandisi wa tiba na vifaa tiba, na wataalamu wa maabara ya meno pamoja na madaktari wa afya za abiria na wahudumu wa anga.

Aidha, JWTZ inawakaribisha mafundi wa aluminium welding, welding na metal fabrication kuwasilisha maombi yao.

Kanali Ilonda amebainisha kuwa waombaji wanatakiwa kuwa raia wa Tanzania wenye kitambulisho cha taifa, afya njema na akili timamu, ambao hawajawahi kutiwa hatiani kwa kosa lolote la jinai. Waombaji wote wanapaswa kuwa na vyeti halisi vya kuzaliwa, vya masomo na taaluma husika, na wawe hawajawahi kuhudumu kwenye Jeshi la Polisi, Magereza, au Kikosi cha Kuzuia Magendo.

Sharti lingine ni kwamba mwombaji awe amehitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) au kwa mujibu wa sher ia na awe na cheti cha uthibitisho. Kigezo cha umri kwa waliohitimu kidato cha nne na sita ni miaka isiyozidi 24; stashahada wasiwe na zaidi ya miaka 26; elimu ya juu wasiwe na zaidi ya miaka 27; na madaktari bingwa isiwe zaidi ya miaka 35.

Maombi yote yaandikwe kwa mkono na kuwasilishwa makao makuu ya JWTZ Dodoma kati ya Mei 1 hadi Mei 14, 2025. Waombaji watume maombi yao yakiwa na nakala ya kitambulisho cha Taifa au namba ya NIDA, nakala ya cheti cha kuzaliwa, vyeti vya shule na chuo, hati ya kumaliza JKT (kwa waliohitimu mafunzo hayo), pamoja na namba ya simu ya mkononi.

Usikose Kusoma na Hizi Pia

Chuo cha Accra College of Health and Allied Sciences, Kozi zinazotolewa, ada za masomo, fomu za kujiunga na chuo

A3 Institute of Professional Studies: Kozi Zinazotolewa, Ada za Masomo, Fomu za Kujiunga na Chuo

Nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja la II – 5 Post

MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII DARAJA LA II – 2 POST – Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

DEREVA DARAJA II – 2 POST – Halmashauri ya Mji wa Tarime

MPISHI DARAJA LA II – 2 POST – Halmashauri ya Mji wa Tarime

MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 6 POST -Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

NAFASI YA KAZI DEREVA DARAJA II – 3 – Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

NAFASI YA KAZI – ICT OFFICER GRADE II (HELPDESK) – 1 POST – Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGa)

NAFASI ZA KAZI – ICT OFFICER GRADE II (DATA ANALYST) – 1 POST – Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGa)

Load More
Buy JNews Buy JNews Buy JNews
ADVERTISEMENT
SendShareShareTweet
Zoteforum

Zoteforum

Karibu Zoteforum.com, Tovuti yako pekee inayokupasha habari na Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani.

Makala Nyingine zaidi

NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

Nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja la II – 5 Post

July 29, 2025
NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII DARAJA LA II – 2 POST – Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

July 29, 2025

DEREVA DARAJA II – 2 POST – Halmashauri ya Mji wa Tarime

July 29, 2025

MPISHI DARAJA LA II – 2 POST – Halmashauri ya Mji wa Tarime

July 29, 2025

NAFASI YA KAZI DEREVA DARAJA II – 3 – Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

July 29, 2025

NAFASI YA KAZI – ICT OFFICER GRADE II (HELPDESK) – 1 POST – Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGa)

July 29, 2025
Load More

Weka maoni yako hapa au Komenti kuhusu makala hiiCancel reply

Recommended Stories

Zifahamu Shule Zote za Sekondari Zilizopo Katika Wilaya ya Njombe, Matokeo ya NECTA na Mock, Majina ya Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza na cha Tano, na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo Katika Shule Hizo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Njombe, Matokeo, Majina ya Waliochaguliwa na Utaratibu wa Kujiunga na Masomo

May 11, 2025
Matokeo ya Darasa la Nne

Matokeo ya Darasa la Nne 2024 Mtwara

January 6, 2025
Dalili za ugonjwa wa usubi, Sababu na Tiba

Dalili za ugonjwa wa usubi, Sababu na Tiba

April 26, 2025
NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

NAFASI YA KAZI DEREVA DARAJA II – 3 – Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

July 29, 2025
NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

NAFASI YA KAZI -AFISA FIZIOTHERAPIA DALAJA LA II (PHYSIOTHERAPY OFFICER II) – 6 POST

January 9, 2025
Sifa Za Kujiunga Na Chuo Kikuu Cha Muhimbili  (MUHAS Entry Requirements 2025/2026)

Sifa Za Kujiunga Na Chuo Kikuu Cha Muhimbili (MUHAS Entry Requirements 2025/2026)

April 16, 2025
Matokeo ya Darasa la Nne

Matokeo ya Darasa la Nne 2024 Pwani

January 6, 2025
Dalili za ugonjwa wa HIV, Sababu na Tiba

Dalili za ugonjwa wa HIV, Sababu na Tiba

April 26, 2025
NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

NAFASI YA KAZI – AFISA MAENDELEO YA JAMII DARAJA II (COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER GRADE II) – 5 POST – MDAs & LGAs

January 9, 2025
  • About
  • Cart
  • Checkout
  • Contact
  • Download Mziki na Nyimbo mpya
  • Habari za Burudani
  • Habari za Elimu
  • Habari za Soka
  • Home
  • Matokeo Ya Mitihani Tanzania – NECTA – MOCK – VYUO
  • My account
  • Nafasi za Kazi 2024
  • Offerings
  • Shop
  • Subscription
Call us: +1 234 JEG THEME

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
No Result
View All Result
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.