POST | MWANDAZI DARAJA – 2 POST |
EMPLOYER | Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe |
APPLICATION TIMELINE: | 2024-11-14 2024-11-27 |
JOB SUMMARY | N/A |
DUTIES AND RESPONSIBILITIES | i. Kuandaa sehemu ya kulia chakula.ii. Kupamba meza ya kulia chakulaiii. Kupanga vifaa vya kulia chakula na vinywaji mezaniiv. Kuandaa vinywajiv. Kuondoa vyombo baada ya kula chakula |
QUALIFICATION AND EXPERIENCE | Kuajiriwa wenye cheti cha Mtihani wa Kidato cha IV na kufuzu Mafunzo si chini ya mwaka mmoja katika fani ya Food and Bevereges kutoka kwenye vyuo vinavyotambuliwa na Serikali. |
REMUNERATION | TGS B |