zoteforum.com
No Result
View All Result
  • Login
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
PRICING
JIUNGE
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
No Result
View All Result
zoteforum.com
No Result
View All Result

Haya hapa Majina ya walioitwa kwenye Usaili Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma 30-07-2025

Zoteforum by Zoteforum
July 31, 2025
in Nafasi za kazi

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), MDAs & LGAs, Wizara ya Afya, Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 06-08-2025 hadi 26-08-2025 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.

Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:

Maelekezo ya Usaili

1. Tarehe, Muda na Sehemu ya Usaili

Usaili utafanyika kuanzia tarehe kama ilivyooneshwa kwenye tangazo hili. Muda na sehemu ambapo usaili utafanyika umeainishwa kwa kila Kada.

2. Udhibitisho wa Kuwasilisha

  • Kila msailiwa anatakiwa kufika kwenye eneo la usaili akiwa amevaa Barakoa (Mask).
  • Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi.

3. Vitambulisho Vinavyokubalika

  • Kitambulisho cha Mkazi
  • Kitambulisho cha Mpiga Kura
  • Kitambulisho cha Kazi
  • Kitambulisho cha Uraia
  • Hati ya Kusafiria
  • Leseni ya Udereva
  • Barua ya Utambulisho kutoka Serikali ya Mtaa/Kijiji unachotoka

4. Vyeti Vinavyotakiwa

Wasailiwa wanatakiwa kufika na VYETI VYAO HALISI, kuanzia:

  • Cheti cha Kuzaliwa
  • Kidato cha IV, Kidato cha VI
  • Astashahada
  • Stashahada
  • Stashahada ya Juu
  • Shahada na kuendelea kutegemeana na sifa za Mwombaji.

5. Vyeti Ambavyo HAVITAKUBALIWA

Wasailiwa watakaowasilisha:

  • Testimonials
  • Provisional Results
  • Statement of Results
  • Matokeo ya Kidato cha IV na VI (form V and form VI results slips)

Havitakubaliwa na hawataruhusiwa kuendelea na usaili.

6. Masuala ya Gharama

  • Kila msailiwa atajigharamia kwa chakula, usafiri na malazi.

7. Tarehe, Muda na Mahali

  • Kila Msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.

8. Waombaji Waliosoma Nje ya Tanzania

  • Wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika kama TCU, NACTVET au NECTA.

9. Wale Wasioitwa Katika Tangazo

Kwa waombaji kazi ambao hawajaona majina yao kwenye tangazo hili, wanapaswa kuingia kwenye akaunti zao za Ajira Portal na kuona sababu za kutokuitwa kwao ili wasikose fursa wakati mwingine.

Usikose Kusoma na Hizi Pia

Haya hapa Majina ya walioitwa kazini Katika taasisi mbalimbali za Umma leo tarehe 31/07/2025

Nafasi za Kazi Halmashauri ya Mji Tarime (Mpishi na Dereva)

Chuo cha Accra College of Health and Allied Sciences, Kozi zinazotolewa, ada za masomo, fomu za kujiunga na chuo

A3 Institute of Professional Studies: Kozi Zinazotolewa, Ada za Masomo, Fomu za Kujiunga na Chuo

Nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja la II – 5 Post

MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII DARAJA LA II – 2 POST – Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

DEREVA DARAJA II – 2 POST – Halmashauri ya Mji wa Tarime

MPISHI DARAJA LA II – 2 POST – Halmashauri ya Mji wa Tarime

MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 6 POST -Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

NAFASI YA KAZI DEREVA DARAJA II – 3 – Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

Load More
Buy JNews Buy JNews Buy JNews
ADVERTISEMENT

10. Kada Zilizopaswa Kusajiliwa na Bodi za Kitaaluma

Wanapaswa kuja na vyeti vyao halisi vya usajili pamoja na leseni za kufanyia kazi.

11. Udhibiti wa Namba za Mtihani

  • Wasailiwa wote walioitwa kwenye usaili wahakikishe wanaingia kwenye akaunti zao na kunakili namba ya mtihani kwa kuwa namba hizo hazitatolewa iku ya usaili.

12. Matatizo ya Majina

Wasailiwa ambao majina yao yanatofautiana katika nyaraka zao wanapaswa kuwasilisha Hati ya Kiapo cha Kubadili Jina (Deed Poll) iliyosajiliwa na Wizara ya Ardhi.

PAKUA ORODHA KAMILI YA MAJINA HAPA

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA MAJINA YA NYONGEZA 31-07-2025

SendShareShareTweet
Zoteforum

Zoteforum

Karibu Zoteforum.com, Tovuti yako pekee inayokupasha habari na Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani.

Makala Nyingine zaidi

NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

Haya hapa Majina ya walioitwa kazini Katika taasisi mbalimbali za Umma leo tarehe 31/07/2025

July 31, 2025
NAFASI ZA KAZI 6 – Halmashauri ya Wilaya ya Tarime

Nafasi za Kazi Halmashauri ya Mji Tarime (Mpishi na Dereva)

July 31, 2025

Nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja la II – 5 Post

July 29, 2025

MSAIDIZI MAENDELEO YA JAMII DARAJA LA II – 2 POST – Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

July 29, 2025

DEREVA DARAJA II – 2 POST – Halmashauri ya Mji wa Tarime

July 29, 2025

MPISHI DARAJA LA II – 2 POST – Halmashauri ya Mji wa Tarime

July 29, 2025
Load More

Weka maoni yako hapa au Komenti kuhusu makala hiiCancel reply

Recommended Stories

Na fasi za kazi kampuni ya Meridianbet, anahitajika Mwandishi wa Maudhui ya Kidijitali

Na fasi za kazi kampuni ya Meridianbet, anahitajika Mwandishi wa Maudhui ya Kidijitali

April 22, 2025
From Five Selection 2025

Form Five Selection 2025 Ruvuma – Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2025 Ruvuma

June 6, 2025
Bei Ya Toyota Land Cruiser Mpya Tanzania

Bei Ya Toyota Land Cruiser Mpya Tanzania

March 18, 2025
 Nafasi Za Kazi Serikalini katika Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (Must)

 Nafasi Za Kazi Serikalini katika Chuo Kikuu Cha Sayansi Na Teknolojia Mbeya (Must)

April 26, 2025
Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha KICoB

Majina Ya Waliochaguliwa Chuo Kikuu Cha KICoB 2025/2026 (KICoB Selected Applicants pdf)

April 19, 2025
Zifahamu Shule Zote Za Sekondari Zilizopo Katika Wilaya Ya Mbinga, Matokeo Ya NECTA Na Mock, Majina Ya Waliochaguliwa Kidato Cha Kwanza Na Cha Tano Na Utaratibu Wa Kujiunga Na Masomo Katika Shule Hizo

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Mbinga, Matokeo, Majina Ya Waliochaguliwa Na Utaratibu Wa Kujiunga Na Masomo

May 11, 2025
Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Butiama

Orodha Ya Shule Za Sekondari Wilaya Ya Butiama

May 7, 2025
Nafasi Za Kazi/ Ajira mpya Za Ualimu Disemba 2024 Sekretarieti ya Ajira (Nafasi 3633)

Serikali Yamwaga Ajira Za Ualimu 1,714 , Fahamu jinsi ya kutuma maombi sifa na Vigezo hapa

June 6, 2025
Zijue Dalili za Saratani (kansa), Sababu na Tiba

Zijue Dalili za Saratani (kansa), Sababu na Tiba

April 27, 2025
  • About
  • Cart
  • Checkout
  • Contact
  • Download Mziki na Nyimbo mpya
  • Habari za Burudani
  • Habari za Elimu
  • Habari za Soka
  • Home
  • Matokeo Ya Mitihani Tanzania – NECTA – MOCK – VYUO
  • My account
  • Nafasi za Kazi 2024
  • Offerings
  • Shop
  • Subscription
Call us: +1 234 JEG THEME

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
No Result
View All Result
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.