zoteforum.com
No Result
View All Result
  • Login
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
PRICING
JIUNGE
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa
No Result
View All Result
zoteforum.com
No Result
View All Result

HESLB imetangaza Majina ya waliopata Mkopo 2025/2026

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo Ijumaa, Oktoba 24,2025 imetoa awamu ya kwanza ya upangaji mikopo na ruzuku yenye jumla ya wanafunzi 135,240. Idadi hii inajumuisha wanafunzi wafuatato:

i.      Wanafunzi 40,952 wa shahada ya awali na wanafunzi 5,342 wa stashahada waliopangiwa mikopo kiasi cha TZS. 152 bilioni.

ii.     Wanafunzi 615 wa Samia Skolashipu waliopangiwa ruzuku kiasi cha TZS. 3.3 bilioni.

iii.     Wanafunzi 88,331 wanaoendelea na masomo wamepangiwa mkopo kiasi cha TZS. 271.2 bilioni baada ya kufaulu mitihani yao ya mwaka uliotangulia.

Bodi ya Mikopo itaendelea kutoa awamu zingine za mikopo na skolashipu kadiri itakavyopokea uthibitisho wa udahili kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza na matokeo kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo. 

ADVERTISEMENT

Aidha, Bodi ya Mikopo inawakumbusha waombaji wa mikopo na ruzuku kuendelea kufuatilia taarifa za maombi yao kupitia ‘SIPA’ wakati taratibu za uchambuzi na upangaji wa mikopo na ruzuku zikiendelea.

Bofya hapa kujua kama umepata mkopo

Usikose Kusoma na Hizi Pia

Matokeo ya Darasa la Nne 2025 (NECTA Standard four results)

Matokeo ya Darasa la Saba 2025/2026 (NECTA PSLE Results)

NECTA matokeo ya darasa la saba 2025 Mikoa Yote (Matokeo ya PSLE yametoka, Tanzama hapa)

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Kigoma

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Lindi

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Manyara

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Mara

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Mbeya

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Tanga

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Tabora

Load More

Check Your HESLB loan allocation status here

Imetolewa na:

Mkurugenzi Mtendaji
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB)
Ijumaa, Oktoba 24, 2025

SendShareShareTweet
Zoteforum

Zoteforum

Karibu Zoteforum.com, Tovuti yako pekee inayokupasha habari na Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani.

Makala Nyingine zaidi

HESLB Majina ya Waliopata Mkopo

HESLB Yawapangia Mikopo Wanafunzi 873 Wa Stashahada Walioomba Kwenye Dirisha La Mwezi Machi 2025

Jinsi ya Kuingia/Kulogin Kwenye Akaunti ya HESLB(Login as registered user, continuous, sipa account)

Jinsi ya Kuingia/Kulogin Kwenye Akaunti ya HESLB(Login as registered user, continuous, sipa account)

HESLB Majina ya Waliopata Mkopo 2025/2026 PDF (HESLB Loan Allocation List PDF)

Jinsi ya Kutuma Maombi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB Online Application 2025/2026)

Load More

Comments 9

  1. Eliza Lasway says:
    3 weeks ago

    Tunashukuru kwa waliopata mkopo,tunaomba waliofanya marekebisho nao wafikiriwe kabla ya vyuo kufunguliwa

    Reply
  2. Veronica says:
    3 weeks ago

    Msaada nahitaji kujua kwanini ,nikingia kwenye account ya ndugu yangu ili kuona kama ni mnufaika wa mkopo preview application status haifunguki?

    Reply
  3. Mashimba masele lugalila says:
    3 weeks ago

    jamani fanyeni haraka wengine bila mkopo chuo tutapasikia tu hali mbaya

    Reply
  4. KASIMU ALLY MWACHA says:
    2 weeks ago

    Ivi kwanini Mimi kama privet candidate nimetengwa na ni miongoni mwa wanafunzi waliotuma maombi yangu mapema ila niliotuma nao wao wamepata Mimi nikaachwa Kuna ubaguzi apo tazameni hili, private wenginine tumepambana sana na wazazi hawana kitu hapa tulipofikia na tunapohitaji msaada wa serekali tunabaguliwa kwanini na kwanini tuwekwe kwenye second na tulitupa first hili sio sawa Mimi kama Mimi nikikosa hapa ndo mwisho wangu wa elimu unafikiri najiskiaje alafu natazama television naona watu wananunua magoli Kwa million Tano na mimi nipo mtaani baada ya kukosa mkopo ivi au ni Kwa vile mimi ni private? Apana ili sio sawa MUNGU anawaona maana documents zote mlizo hitaji nimewasilisha kwenu mbona natupwa kama second chance na wakat nilikua first kwenye kutuma maombi yangu kwanini mpo hivyo nyie body ya mkopo?

    Reply
  5. Moses says:
    2 weeks ago

    Kitu muhim ni mkopo tu kwangu bila mkopo basi elimu yangu ndyo hatima yake hii tusaidieni pale mnapoweza tupate mkopo.

    Reply
    • rehema says:
      1 week ago

      kwakweli jamani tumejinyima sana hadi kuomba mkopo

      Reply
  6. rehema says:
    1 week ago

    mimi nimekosa mkopo sijui ntasomaje hata kama kama nilisoma private ni miaka miwili tu na ni olevel hamuwezi jua nilisomeshwaje mpaka nafikia hatua nakata tamaa kabisa nimeomba mwanzoni nimetumia gharama kubwa Leo hii nasubiria round ya pili nalelewa na single mother sijui itakuwa Sina uhakika wakupata second round hata sipa tu bado mtuonee huruma tuna ndoto kubwa hapo baadae tuna wazazi na ndugu wanatutegemeaMungu atusaidie daah inaumiza sana

    Reply
  7. rehema says:
    1 week ago

    msichoke kutufikiria tuliokosa tutapoteza ndoto zetu nyingi

    Reply
  8. Moshi says:
    5 days ago

    Wengine sisi so watanzania Hadi tunaomba mkopo mala mbilimbili hatupati

    Reply

Weka maoni yako hapa au Komenti kuhusu makala hiiCancel reply

  • About
  • Cart
  • Checkout
  • Contact
  • Download Mziki na Nyimbo mpya
  • Habari za Burudani
  • Habari za Elimu
  • Habari za Soka
  • Home
  • Matokeo Ya Mitihani Tanzania – NECTA – MOCK – VYUO
  • My account
  • Nafasi za Kazi 2024
  • Offerings
  • Shop
  • Subscription
Call us: +1 234 JEG THEME

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
No Result
View All Result
  • Home
  • Nafasi za kazi
  • Elimu
    • HESLB
    • Orodha ya Shule za sekondari Tanzania
    • selections
      • Majina Ya Waliochaguliwa Vyuo vikuu
    • NECTA Matokeo
    • Maombi ya Udahili
      • Sifa za Kujiunga na Vyuo
      • Kozi za Vyuo
      • Orodha ya Vyuo
  • Internship
  • Habari na Matukio
    • Afya
    • Tekinolojia
  • Burudani
    • Soka
    • Mziki
    • Mapenzi na Mahusiano
  • Biashara
    • Magari
    • bei za bidhaa

© 2024 Zoteforum - Tovuti yako pekee inayokusogezea Makala mpya kuhusu elimu, michezo, na burudani. by Zoteforum.com.